Hivi huyu jamaaa alienda wapii maana alikua anaweza sana hasa kipindi cha bunge la wasikilizaji na weekend fever kama kid hayupo alikua anaweza sana huyuu mtuu ni level nyingine na SAUTI yake ya kiume balaaa na utundu nini aaaah kiukwelii nataman sana kumsikia huyuu jamaa.Hata kama wanasema sijui Clouds kuna watangazaji wajanja aaah kwa Anko Sam baaaaadooo sana wajifunze sema ndiyo hivyo kapotea sana daaah
Yupo E FM huyo
kipindi yupo mwanza tulikua tunaishi mtaa mmoja jamaa ni chapombe sana tena aliepitiliza nafikiri r.f.a alikimbia mshahara mdogoHivi huyu jamaaa alienda wapii maana alikua anaweza sana hasa kipindi cha bunge la wasikilizaji na weekend fever kama kid hayupo alikua anaweza sana huyuu mtuu ni level nyingine na SAUTI yake ya kiume balaaa na utundu nini aaaah kiukwelii nataman sana kumsikia huyuu jamaa.Hata kama wanasema sijui Clouds kuna watangazaji wajanja aaah kwa Anko Sam baaaaadooo sana wajifunze sema ndiyo hivyo kapotea sana daaah
kipindi yupo mwanza tulikua tunaishi mtaa mmoja jamaa ni chapombe sana tena aliepitiliza nafikiri r.f.a alikimbia mshahara mdogo
hahaahaaa inaonekana stress za antony maana hao jamaa kuna Kamukulu,Fredwaa,Matalange,Roy Maganga,Dj John walikuwa watu wa mitungi sana na ni vipaji vya hali ya juu,nakumbuka Villa tushakula nao sana bata,SAM DAVIS KIAMA yupo EFM Dar ila namskia jumamosi kwenye hiphop ambayo anaijua sana,sema angepata redio kubwa zaidi angekuwa mbali maana aliendesha kwa weledi sana Bunge la Wasikilizaji kipindi yupo RFA,hivi na huyu Godwin Gondwe si alikua nao RFA??kweli ulikua mtambo wa kutoa vipaji.....
E.FM kwa Moro haisikiki.....siipat au ni mimi tu?...msaada wadau