UngaUnga JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 1,724 Reaction score 1,464 Jan 6, 2018 #1 Nimejikuta tu nakakumbuka haka kajamaa "mzee wa mikumi" na vijistori vyake vya mikumi! kuna watu huchangamsha jf, kama una frastration zinaisha unabaki kucheka tu,huyu alikuwa mmojawapo ana vituko! achilia yule ambae dish km limeyumba vile "KISANDU"
Nimejikuta tu nakakumbuka haka kajamaa "mzee wa mikumi" na vijistori vyake vya mikumi! kuna watu huchangamsha jf, kama una frastration zinaisha unabaki kucheka tu,huyu alikuwa mmojawapo ana vituko! achilia yule ambae dish km limeyumba vile "KISANDU"
sab JF-Expert Member Joined Jan 25, 2013 Posts 5,723 Reaction score 4,286 Jan 6, 2018 #2 Nadhani humu jf kuna jamaa zake wa karibu watakujibu aliko au yeye mwenyewe atakuja kama ujumbe utamfikia,
Nadhani humu jf kuna jamaa zake wa karibu watakujibu aliko au yeye mwenyewe atakuja kama ujumbe utamfikia,
Philipo D. Ruzige JF-Expert Member Joined Sep 25, 2015 Posts 9,428 Reaction score 27,096 Jan 6, 2018 #3 K4real Wa Stendi Konda wa Bodaboda
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,057 Reaction score 39,387 Jan 6, 2018 #4 inawezekana ni mbunge was jimbo hilo
UngaUnga JF-Expert Member Joined Dec 28, 2014 Posts 1,724 Reaction score 1,464 Jan 6, 2018 Thread starter #5 Vijistori vyake vilikuwa vinasadifu age yake