UngaUnga
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,724
- 1,464
Nimejikuta tu nakakumbuka haka kajamaa "mzee wa mikumi" na vijistori vyake vya mikumi! kuna watu huchangamsha jf, kama una frastration zinaisha unabaki kucheka tu,huyu alikuwa mmojawapo ana vituko! achilia yule ambae dish km limeyumba vile "KISANDU"