Nimemkumbuka Meja Jenerali Mbuge, yuko wapi?

Mwamba alipanda vyeo kwa kasi ya 5g chini ya utawala wa hayati Magufuli.

Alikuwa anapendwa sana na hayati Magufuli, kwenye dili za ujenzi alishiriki sana na vijana wake wa JKT.

Sasa hivi yuko wapi?
Amefariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…