Nimemkumbuka mpenzi wangu wa shuleni

Kwa Mara ya kwanza ninaelewa uzi wako tangunianze kusoma nyuzi na comment zako leo umeandika vizuri sana uko nyuma shida ilikuwa nini mpaka kushindwa kuandika vizuri?
Sikuwa nimetulia aisee kipindi hicho sitaki kikumbuka bado humu giza , visa , yaani acha tu maisha ndio yalikuwa hivyoo ila kwa sasa napata hiyo hiyo hiyo
 
Kwa Mara ya kwanza ninaelewa uzi wako tangunianze kusoma nyuzi na comment zako leo umeandika vizuri sana uko nyuma shida ilikuwa nini mpaka kushindwa kuandika vizuri?
Kwa hiyo ndiyo umeurithi uandishi wake wa zamani?
 
Sikuwa nimetulia aisee kipindi hicho sitaki kikumbuka bado humu giza , visa , yaani acha tu maisha ndio yalikuwa hivyoo ila kwa sasa napata hiyo hiyo hiyo
Nimekupata vizuri sana samahani lakini kama utajali upo kwenye umri gani 20s, 30s au 40s?
 
Ndio ni mtu mmoja kuna shida
Hamna shida mama la mama ila uwe unasema mapema unajua mi nilikuwa katika process ya kuichombeza ile id yako ya Unique Flower kumbe ni wewe


Huoni Unatuchanganya sasa basi nitaendelea kukuchombeza wewe

Si unajua mi napenda wanawake wa kimasai na kikenya wanawake wasiojua kiswahili vizuri ile accent yao inanidatisha
 
Duu mkuu unapenda mtu kwa muandiko kweli moyo unamambo ya kifala sana [emoji3][emoji1787]
 
Karibu sana mwaya ila ujue mimi nimeolewa kabisa
 
Mwanaume mzima unajiita katoto kazuri! Pumbavu kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…