Nimemkumbuka mwamba Adolf hitler

Hizo stori zipo kila sehem hata kifo cha Michel Jackson
Sawa lakin behind Hitler alikuwa anachukua malighaf za Africa kuimarisha uchumi wa german naalichota matan kwa matan ya dhabu na kila malighaf ndomaana aliweza kulipa jeshi lake kubwa ajabu vzr ..kwan hujawah skia kuna mji hitler aliujenga in east afrika akautowesha ukabaki kama image nation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…