Tatizo waliopo chini yake wanamharibia kw kutaka cheo chake kumbuka mwezi juzi hapa alisema live kuna watu /mtu anayaka cheo chake
Kamanda Siro ana busara sana ,
technically, Wangapi wameenda huko mbona mnapenda ujinga[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatweta hofu imemkumba. Kuna tetesi kuwa huenda akahamia Dodoma na nafasi yake ikashikwa na mzanzibari mmoja hivi.Kanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Ciro alitakiwa kuwa DigTiss na Yule bwana aliyejiuzulu juzi akapewa ubalozi kwenye sakata la Kange alitakiwa kuwa CDF. Lakini kutokana na kutoiva na Baba w familia ilibidi amuweke mutu anayemuweza mzee wa kabila.moja na baba. Sintofahamu ni nyingi ndani ya vyombo hivi vya kulia wali wa usalama.Ndio maana anataka kumrudisha yule katibu tawala wa Tabora TISS ili Diwani Athumani apelekwe kuwa IGP yaani wakurugenzi wakuu wa idara ya usalama wa taifa 3 ndani ya miaka 4 kuna kitu hakipo sawa kabisa.
Taarifa kutoka chanzo cha kuaminika zinasema Ciro alitakiwa kuwa DigTiss na Yule bwana aliyejiuzulu juzi akapewa ubalozi kwenye sakata la Kange alitakiwa kuwa CDF. Lakini kutokana na kutoiva na Baba w familia ilibidi amuweke mutu anayemuweza mzee wa kabila.moja na baba. Sintofahamu ni nyingi ndani ya vyombo hivi vya kulia wali wa usalama.
MambosasaTatizo waliopo chini yake wanamharibia kw kutaka cheo chake kumbuka mwezi juzi hapa alisema live kuna watu /mtu anayaka cheo chake
Ameneswa kwenye mawasilano yanayonyanganya watu haki ya kuishi. NimeotaKanyamaza, hapendi tena lawama. Je, atakubali kuendelea kuwa IGP kuelekea Uchaguzi Mkuu au atajiuzulu?
Au atatumbuliwa? Maana ni mtu muungwana anayefanya kazi na watu wasio na maadili kama alivyokuwa Kangi.
Je, atakubali kutumika maana yupo kwenye rada ya Wamarekani kuelekea ICC?
Ningekuwa mimi ni yeye ningejiuzulu kutunza heshima kabla ya uchaguzi maana kuna kila dalili za kutwishwa gunia la misumari.
Kashandika barua 2 za kuachia ngazi lakini anakataliwa.
Naomba niishie hapo
Ndio maana anataka kumrudisha yule katibu tawala wa Tabora TISS ili Diwani Athumani apelekwe kuwa IGP yaani wakurugenzi wakuu wa idara ya usalama wa taifa 3 ndani ya miaka 4 kuna kitu hakipo sawa kabisa.
Mimi huwa namuelewa sana siro ila nikikumbuka ile picha ya cctv camera...mmh!!!Alishawaambia anaowangoza wachane na Siasa kwa wale walikuwa wanasema yy hatoshi ktk hiyo nafasi.
Siro anatosha kabisa hapo alipo panamfaa kabisa ila anatakiwa kuwaasa anaowangoza kujirudi ili kujiweka ktk misingi isiyoliingiza kwenye Itikadi ambazo sio sehemu ya kazi zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeishia tu kusema kuwa wamemwua Khassim lakini usiseme bila sababu yoyote. Nadhani walieleza sababu. Labda ungesema hukubaliani na sababu waliyoitoa.Pompeo asitubabaishe Marekani imeua watu wengi sana hata majuzi wameua Khassim Souleiman bila kosa lolote
Unaogopa nini mkuu?
In God we Trust
Siyo mambo leo huyo?
In God we Trust
Anajitahidi kweli kweli sema yule akipewa ataharibu jeshi la polisi bora apewe msangi yule zanzibar au muruto wa dodomaMambosasa