Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wa kibongo umwambie I love you...unatafuta kusemwa eehKwa nini usingemtumia mhusika huu ujumbe direct?au unamuogopa?
Mama zetu ukienda kichwa kichwa utakula za usoMama wa kibongo umwambie I love you...unatafuta kusemwa eeh
Lazma uombe maji kwanzaMama zetu ukienda kichwa kichwa utakula za uso
Mama anakulia timing akishavuna mazao anaenda kuchuja alizeti anakutumia mafuta Lita 20 hapo jiandae tu kiakili kama hujaaambiwa nibadilishie sofa Zangu sijuiLazma uombe maji kwanza
Hivi kale kaTV unakaleta lini baba anguMama anakulia timing akishavuna mazao anaenda kuchuja alizeti anakutumia mafuta Lita 20 hapo jiandae tu kiakili kama hujaaambiwa nibadilishie sofa Zangu sijui
Hii Tv ndogo sana umri umeenda baba haoni vizuriHivi kale kaTV unakaleta lini baba angu
Niliingia kausha damu nikalabati nyumba...sasa kila siku wananifata sijui hata nifanyajeHii Tv ndogo sana umri umeenda baba haoni vizuri
Cha kufanya angalia terms za kimkataba mlizokubaliana wakati mnakopeshana zitimize uone kama watakufata tena.Niliingia kausha damu nikalabati nyumba...sasa kila siku wananifata sijui hata nifanyaje
Ukimjibu Hivyo mama lazima utasikia kisauti cha huzuni kinasema ''haya mwanangu''Cha kufanya angalia terms za kimkataba mlizokubaliana wakati mnakopeshana zitimize uone kama watakufata tena.
Kumbe we unamaaanisha mama mi nikajua wewe! Uzur kausha damu wa vijijini hawatoi Hela kubwa utakuta wamempa mama 120,000 arudishe 155,000 hapo unamlipia kimya kimya mzee huwezi ruhusu mzazi adhalilikeUkimjibu Hivyo mama lazima utasikia kisauti cha huzuni kinasema ''haya mwanangu''
Hakika tunawasahau sna kina babaUsimsahau mzee, wote wana mchango mkubwa kwako(I guess)