Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ndiye mwanaume wake wa kwanza hawezi kumsahauNaingia chimbo rasmi nijue Mbowe alikutenda nini. Ni nadra sana kuandika mistari mitatu bila kumtaja Kamanda Mbowe. Ungemtaja Mungu kama unavyomtaja Mbowe pepo ungeenda bila mawaa.