Nimemkuta anasasambua huku akipigiwa makofi

Nimemkuta anasasambua huku akipigiwa makofi

Next tyme ukisema sasambua weka na picha isije ikawa ni stori ya Musa kajamba kajaza!!
 
mshauri wifi yako.mimi nlisha muomba msamaha na kutulia kabisa.lakini yeye muongo,dharau,kiburi na kila baya analo yeye.nmechoka.sasa hivi hata mtaani haonekani wala simu hapokei.huyu kweli ana pepo la ngono.mia

Wakati mmetokeana hamkutuambia hapa jf mlifanya kimya kimya ila mmechokana ndo kila baya litasemwa juu ya mwenzio, mmh mapenzi haya bwana hayana formula ni Mungu tu atusaidie. Pole eeenh mia kwa kukwazika, ngoja mie nijilalie zangu kesho nsijechelewa kibaruani
 
kama mlikutana club mkatongozana, no comments.
 
Usiwe na waswas, huo tunaompa ni ushauri tosha, akili mu kichwa!

nanyie msiwe mnacomment kwa ukali.Unajua inaniuma sana?muwe munanipa pole.unajua mpenzi wako akihalibikia mikoni mwako ni aibu sana.najaribu kumuweka hapa mumushauri jinsi ya kuishi maisha ya kimapenzi.munaweza kumshauri hata kwa pm coz ni member mwenzenu.wote ni ndugu na tunajifunza kutokana na makosa.mia
 
Pole sana lakini ebu nikulize swali lakizushi ,ww umesema umemdanganya mchuchu wako kua unaumwa,ulijuaje kama yuko hapo Maisha au ww mgonjwa ulienda kufata nn?inaonyesha wazi kua nyote kunguru na hakuna mkweli kati yenu..

Tamu ya chai sukari
 
mwache tu maana ungetaka kumfanya kitu usingemdanganya kuwa watu ndo walimuona na wakati umemuona mwenyewe na ungemshtua pale pale akisasambua
 
mwambie tu ukweli, mwambie ulimuona mwenyewe na mwambie uliona nini na nini, mwambie unavo jiskia kuhusu hili alafu akikubali alikuwepo ndio muanza kufikiria mtafanyaje aache tabia hiyo inayo kukera wewe na anayo ionea aibu mwenyewe.

wote si waaminifu na wanadanganyana yy kasema demu alijua ni mgonjwa kalala home Club alifata nini wote wahuni asimlaumu mwenzake ndo maana hawezi kumwambia ni yy ndiye alimwona ataulizwa ww ulifata nini ngoma drooo
 
Back
Top Bottom