Nimemkuta mchumba wangu akifanya kazi bar

Nimemkuta mchumba wangu akifanya kazi bar

Mimi na wewe nani dogo?? me nimekuzidi miaka minne hapa JF,, nimejiunga 2014 wewe umejunga 2018 au kwakuwa sipost

Suala la kuoa mfanya kazi wa bar hilo gumu sana mkuu, ninavyowaona wakijiuza vile siwezi hata kusubutu

Dogo, kutokuwepo JF kabla yangu hakunifanyi nikawa mdogo wako. Unaweza kuwa mkwe wangu.
 
Scan again serostatus
IMG_20180822_071905.jpeg
 
Kutokukwambia ukweli hilo tayari ni doa,Inawezekana anamengi anakuficha,uwazi na ukweli ni msingi wa mahusiano
 
Pimeni ukimwi majibu yakitoka utaangalia kama inafaa kuendelea ama laah.


Unaoa mke si kazi....
 
Itakuwa nesi wa kuduka walevi bar.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Ndo nimesha ghaili mkuu

Utakuja juta nakuambia dogo. Ukimuacha huyo utaangukia kwa changudoa (ambae hutajua uchangudoa wake hadi baada ya ndoa) na ataendelea kujiuza na kukigawa hata akiwa ndani ya ndoa. Labda kama wewe si Mkristo wa ukweli ili ujiaminishe kutoa talaka. By the way; wewe hujawahi kumjua mwanamke hadi leo hii?
 
Habari wakuu,
Nilitangaza uchumba kanisan na binti mmoja

Iko hivi niliambiwa huyu binti ni nesi yupo (mikoa fulani), nikavutiwa nae nakam-approach na bahati nzuri akanielewa nikawa nimemtafuta mchungaji kumpa habari

Tumeishi kwenye uchumba ni zaidi ya miezi saba sasa, amekuwa akija mara moja moja nyumbani na kiukweli nilikuwa nimeweka malengo nae tayari

Yeye ni mpole, mcheshi na mkarimu sana lakini pia kajaaliwa uzuri wa asili, juzi nikiwa safarini nikapota kwenye lodge moja kupata usingizi ili usiki ukipita niendelee na safari

Ile lodge ina bar pia upande wa pili, nikaona isiwe tabu wacha niende nikapate soft drink kule bar, kutahamaki nikaona sura kama ya yule mchumba wangu

Nikawa najipa moyo maana binadam tunafanana labda tu wamefanana, ila cha kuchangaza tulipokutanisha macho akaduwaa, alikuwa akitembea na kapu la vinywaji likamponyoka

Nikajaribu kumpigia ikaita simu yake pale pale alikuwa nayo mkononi, ndo nikawa nimethibitisha kuwa ni yeye kweli, niliumia sana mpaka mda huu sipo vizuri maana nilikuwa nimeweka malengo nae

Nilikiwa najiiandaa kuwa na nesi kumbe mwenzangu ananichora, yaani kumbe hawa dada zetu wapo wanaotoka nybami na kwenda kufanya ufusika mbali kisha wakirudi nyimbani wanajifanya kama huko waliko wanakazi za maana

Sijaandika sehemu (kanisa nilipotangaza uchumba) na wapi nimemkuta akifanya kazi kwa kuhofia kumchafua mtu au taasisi ya dini fulani
Kwani kufanya kazi ya bar ni ufuska?Wewe ulitaka kuoa mtu au nesi?
 
Nakuombaa ukae uongee naye kwa undani kama bado unmpenda
 
Iko hivi niliambiwa huyu binti ni nesi yupo (mikoa fulani), nikavutiwa nae nakam-approach na bahati nzuri akanielewa nikawa nimemtafuta mchungaji kumpa habari

Naam, tatizo liko hapa. Usimlaumu yeyote, tatizo ni WEWE.

Yani unakubaliwa na mwanamke afu step ya kwanza kwa mchungaji?
 
Habari wakuu,
Nilitangaza uchumba kanisan na binti mmoja

Iko hivi niliambiwa huyu binti ni nesi yupo (mikoa fulani), nikavutiwa nae nakam-approach na bahati nzuri akanielewa nikawa nimemtafuta mchungaji kumpa habari

Tumeishi kwenye uchumba ni zaidi ya miezi saba sasa, amekuwa akija mara moja moja nyumbani na kiukweli nilikuwa nimeweka malengo nae tayari

Yeye ni mpole, mcheshi na mkarimu sana lakini pia kajaaliwa uzuri wa asili, juzi nikiwa safarini nikapota kwenye lodge moja kupata usingizi ili usiki ukipita niendelee na safari

Ile lodge ina bar pia upande wa pili, nikaona isiwe tabu wacha niende nikapate soft drink kule bar, kutahamaki nikaona sura kama ya yule mchumba wangu

Nikawa najipa moyo maana binadam tunafanana labda tu wamefanana, ila cha kuchangaza tulipokutanisha macho akaduwaa, alikuwa akitembea na kapu la vinywaji likamponyoka

Nikajaribu kumpigia ikaita simu yake pale pale alikuwa nayo mkononi, ndo nikawa nimethibitisha kuwa ni yeye kweli, niliumia sana mpaka mda huu sipo vizuri maana nilikuwa nimeweka malengo nae

Nilikiwa najiiandaa kuwa na nesi kumbe mwenzangu ananichora, yaani kumbe hawa dada zetu wapo wanaotoka nybami na kwenda kufanya ufusika mbali kisha wakirudi nyimbani wanajifanya kama huko waliko wanakazi za maana

Sijaandika sehemu (kanisa nilipotangaza uchumba) na wapi nimemkuta akifanya kazi kwa kuhofia kumchafua mtu au taasisi ya dini fulani
Mkuu, alimaanisha nesi wa walevi, muulize vizuri
 
Dunia haieleweki, ipo siku utakuja tamani ungekuwa nae baada ya yeye kuolewa na wakakaa sawa na mume wake. Kuvunja uchumba mra nyinig kuna beba laana
 
mkuu unaowa kazi unaowa mwanamke......hata kazi ya bar kazi
 
Back
Top Bottom