Nimemkuta mpenzi wangu yupo na mpenzi wake wa zamani

Nimemkuta mpenzi wangu yupo na mpenzi wake wa zamani

Jstar1

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2019
Posts
1,391
Reaction score
1,347
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.

Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.

Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.

Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].

Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.

Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.

Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
 
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.

Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.

Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.

Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].

Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.

Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.

Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Mkuu imekaa kizazi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] future yenyewe huna
 
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.

Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.

Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.

Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].

Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.

Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.

Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Huo si ujanja ni ujinga unachezea mwilivwako vibaya,achana na uzinzi hautakusaidia
 
Alishakwambia ana mpenzi

Haraka ya nini na alipaswa amuache taratibu????
 
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.

Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.

Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.

Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].

Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.

Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.

Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Kwa hali hii ukimwi hauwezi isha, Mungu akusamehe.
 
Huo si ujanja ni ujinga unachezea mwilivwako vibaya,achana na uzinzi hautakusaidia
Injili kizazi hiki unapoteza tu muda mzee. Leo jpili wako kufanyana hatari. Yaani mfano ghafla kila kitu kiwe wazi tu kila mmoja aone yaliyoko huko ndani,mzee hutaamini kumuona mtoto wako analiwa na mjombaako. Hapo kwa sisi wa zama za mawe tunaita kupatwa kwa tecnorojia
 
Injili kizazi hiki unapoteza tu muda mzee. Leo jpili wako kufanyana hatari. Yaani mfano ghafla kila kitu kiwe wazi tu kila mmoja aone yaliyoko huko ndani,mzee hutaamini kumuona mtoto wako analiwa na mjombaako. Hapo kwa sisi wa zama za mawe tunaita kupatwa kwa tecnorojia
Ni kazi yetu kuwaambia vijana hayo mambo maovu si ujanja mwisho wake mbaya
 
Back
Top Bottom