Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,082
Imalize basi hiyo kazi mzee. Kufikia mwakani wasiwepoNi kazi yetu kuwaambia vijana hayo mambo maovu si ujanja mwisho wake mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imalize basi hiyo kazi mzee. Kufikia mwakani wasiwepoNi kazi yetu kuwaambia vijana hayo mambo maovu si ujanja mwisho wake mbaya
Dhambi haiwezi kuondoka duniani maadam shetani yupo tunachofanya ni kutoa elimu kujua madhara yake kwa watu maana mshahara wa dhambi ni mauti,Mungu hapendi mwanadamu aangamie ni husuda za shetaniImalize basi hiyo kazi mzee. Kufikia mwakani wasiwepo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zibafunguliwa j3 babuuh.Nadhani shule zitakuwa zimefungwa...
Story inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.
Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.
Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.
Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].
Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.
Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.
Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Bado nakusubiria inbox. Ahadi ni deni[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zibafunguliwa j3 babuuh.
Imebidi nicheke kwanza kisha nikakumbuka madogo wawili mtaani wamemuliwa baada ya kurushiana ngumi, watu wakaanza kumcheka mmoja kapigwa ngumi ya mdomo na umemvimba, yeye akajibu "na mimi nimempiga ngumi ya pua"....
Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Hebu ninunulie vifaa vya shule, si unajua j3 naenda kuanza form 5, [emoji23][emoji23][emoji23]Bado nakusubiria inbox. Ahadi ni deni
Njoo uvichukue hapa room 112Hebu ninunulie vifaa vya shule, si unajua j3 naenda kuanza form 5, [emoji23][emoji23][emoji23]
Naenda kusema kwa bibi, haya wee jitoe tu ufahamu.Njoo uvichukue hapa room 112
Huuuyu !! atarudi tu!!! km hela huna na mafuta unawekewa na mjomba utarudia tu ukikumbuka!!Zinafunguliwa tarehe 5, tuwavumilie kidogo
IdiotStory inaanza ilikua jana jmos, nilipanga kutoka na mpenzi wangu ambae toka tujuane ni wiki sasa.
Alinambia ana mpenzi ila ana kama miezi kadhaa hawajaonana na akanihakikishia ataachana nae ndan ya wiki inayoanza.
Cha kusikitisha, jana asubuhi namptia ili twende nyumbani nimtafune kwanza alafu ndo tutoke, nafika kwake nampgia smu anapokea rafiki yake anasema katoka nje kidogo.
Mara ghafla na yeye namuona nje, kwa mbele nkamuona mhuni mmoja hivi anakuja less kinoma[emoji28][emoji28][emoji28].
Gari nilipaki pembeni yake ikabidi nishushe kioo, akaniambia anaenda dukani nirudi badae, ila kama alkua hajiamni, kumbe yule jamaa ndo mhuni wake.
Nikawaangalia kwa side mirror wanabadlishana mifuko, ikabidi nijiongeze nitoke pale niende sehemu kwanza.
Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.