Nimemkuta mpenzi wangu yupo na mpenzi wake wa zamani

Imalize basi hiyo kazi mzee. Kufikia mwakani wasiwepo
Dhambi haiwezi kuondoka duniani maadam shetani yupo tunachofanya ni kutoa elimu kujua madhara yake kwa watu maana mshahara wa dhambi ni mauti,Mungu hapendi mwanadamu aangamie ni husuda za shetani
 
Kuna wazo la biashara nimelipata hapa

NITA ANZA KUKODISHA MAGARI KWA AJILI YA WATU KUPIGIA MISELE KWA WENZA WAO WAPYA
 
Ww bado unampenda uyo demu tulia dawa ikuingie
 
Kwahiyo ndani ya wiki inayoanza ndo wanaachana😀😀

Kaazi kweli kweli
 
...

Badae ndo nkamptia nkaenda kutafuna na tukatoka, sikumuulza ila jana ndo ilkua mwisho inshort nmembwaga maana mi mwenyewe sina future gari la kuazima.
Imebidi nicheke kwanza kisha nikakumbuka madogo wawili mtaani wamemuliwa baada ya kurushiana ngumi, watu wakaanza kumcheka mmoja kapigwa ngumi ya mdomo na umemvimba, yeye akajibu "na mimi nimempiga ngumi ya pua".
 
Idiot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…