Nimemla Bata Kumbe Side Kick......

Nimemla Bata Kumbe Side Kick......

Halafu Rev siku moja nimekuona ukiwa na bonge la CHUPA nadhani ndani kulikuwa na CHOZI la simba mkuu...

Habari kama hizi unaniPM mkuu! watasoma wanakondoo wananikimbia hata sadaka itakuwa ni issue. Nafungisha ndoa wanaume 2 mwanamke mmoja inakubalika hiyo
 
Thank you! yaani hako kapicha, umbo la kopa lililotengenezwa kwa snow ndio imenimaliza kabisa uuwii, ingawa hapa nilipo snow imekuwa nyingi mpaka inakera lakini hiyo uliyoniwekea hapo aaah, I love it as much as I love you, anyway.....u never know,,, tunaweza kuonana siku moja.

Hofu yangu tunaokupenda ni wengi, tusije tukapigana online bure!!!!! au ndio ule msemo nyama inaliwa na mwenye kisu kikali? teh teh teh!

uwii kama huku nyanda za juu ni baridi sana karibu huku mitaa ya chini ..
si ndo summer and im loveing it lol

hahaha hofu ondoa ndugu yangu si unajua ni x-mass ..
just give out same love lol..
hahahah lol
 
Habari kama hizi unaniPM mkuu! watasoma wanakondoo wananikimbia hata sadaka itakuwa ni issue. Nafungisha ndoa wanaume 2 mwanamke mmoja inakubalika hiyo

Ifinye hiyo kwetu sisi tunaita MESSAGE sent....
 
Utabaniwa wewe na mods kwa kosa la kutongoza live hapa....

halafu ww unamtishia mwenzako ili ww umchukue toto la kiiraqw, bana mm nipo beneti naye, naasi ama muki gaa'a'we, king ngiloa thaair, mods nimesha mhonga,
 
uwii kama huku nyanda za juu ni baridi sana karibu huku mitaa ya chini ..
si ndo summer and im loveing it lol

hahaha hofu ondoa ndugu yangu si unajua ni x-mass ..
just give out same love lol..
hahahah lol

Afrodenzi the way you write am sure is how beauty u r...
 
leo ndio nimejua ww na preta ni wairaq, mm pia, saita ama? ka dima siuriye, ana diri CA, USA, ako mungu inzunki

mmmhhh yeah mi ni muiraqi...
nafurahi kusikia wewew ni wa kwetu lol
sayu i doma...
barageeri hahah lol
 
Mchungaji, nitafurahi sana ukifungisha ndoa yetu, hata ukiwa tungi chakari haina kwere, the bible says, we dont need to give a damn shit to what the servants of God do but what they preach to us, so, Rev. Masa....move on, I will soon set an appointment!

hahaahhahah lol
umeniacha hoi sina hamu hahah lol
haraka hivyo lol
 
halafu ww unamtishia mwenzako ili ww umchukue toto la kiiraqw, bana mm nipo beneti naye, naasi ama muki gaa'a'we, king ngiloa thaair, mods nimesha mhonga,

Sasa wewe naona unakuja na sera ya UKABILA kama sisiemu? Lekaga nang'ho nkoyi, nabiswe tulinalo...hata mie kitu ninacho mzee wangu siko nyuma kwa KINGOSWE......
 
Duh nilikukosa weye upo kumbeeee....bata hata xmass aliwa dear hivyo hofu no afrodenzi

mi nipo ndugu yangu ..
we ndo umepotea...

mmmhh kwa kweli naona umepata kitu ndani ya boxi yake kabla ya x-mass lol
 
Habari kama hizi unaniPM mkuu! watasoma wanakondoo wananikimbia hata sadaka itakuwa ni issue. Nafungisha ndoa wanaume 2 mwanamke mmoja inakubalika hiyo

hahahahaahah lol
Rev wewe unacholinda ni sadaka tu ..
kwa kweli unanipa raha za maisha lol
sina mbavu...
 
mi nipo ndugu yangu ..
we ndo umepotea...

mmmhh kwa kweli naona umepata kitu ndani ya boxi yake kabla ya x-mass lol

Nakwambia mie nipo tu ila nilipotea kidogo si unajua tena kumpata bata sio kitu rahisi mtu wangu....karibu next bata..
 
mmmhhh yeah mi ni muiraqi...
nafurahi kusikia wewew ni wa kwetu lol
sayu i doma...
barageeri hahah lol

sayu ama, nime Ku PM bana, ebu njoo huku uani tuongee kidogo bana, hapa sebuleni watu wengi utafikiri nyuki kwenye ua bana, naasi ama
 
Nakwambia mie nipo tu ila nilipotea kidogo si unajua tena kumpata bata sio kitu rahisi mtu wangu....karibu next bata..

hahahah lol naoana ur 2010 wish imekuwa true hahah lol
sasa naogopa ya 2011..

mmmhh mi mambo ya bata utanisamehe..
lakini kama ni kiti moto nipo hahahah lol
 
thank u so much sweet heart....
im sure ur as handsome as u sound to lol
:whoo::whoo:


Yezu na Maria, hapo kwa coloured natamani echoes ukisema nikiwa usingizni kwa mbali na nisikie kama ndotoni vile maneno hayo....
 
sayu ama, nime Ku PM bana, ebu njoo huku uani tuongee kidogo bana, hapa sebuleni watu wengi utafikiri nyuki kwenye ua bana, naasi ama


haya SHIKA pembe sasa wenzio tutachinja si unataka kuchakachua wewe?
 
Jihadhari na matapeli.....mie simo....simo ....simo! am just saying, teh teh teh! and its nothing personal or jelousy for that matter!

usijali mambo madogo tu haya..
asante sana lakini 😛arty:
 
Mnachakachua sasa....Ngoja mie niwe Mmarekani tuone sasa nani yuko fiti...

tayari nimesha mvuta uani ww unaongelea sebuleni, ngoja sisi tuzoze, tutakujia baadae, afrodezi garma uga andi speed ikon? dasu iraqw kuwa hoohoow aidoma? Homa ri ya gan
 
Back
Top Bottom