Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Mengine yako mbali, halafu very costful. Nikisema nitafute demu ni sawa najitwika mzigo mzito wa dhambi[emoji26]Nenda kwenye Machaka Mengine si yapo Mengi tu[emoji16][emoji16][emoji16]
We acha tu, kipindi naanza kuhudhuria machimbo yao!Dah hii story imenikumbusha mwaka 2008, wale viumbe wanaweza kukutoa roho
Sidhani kama kwenye hili unaweza kunishinda kwa uzoefu..! Anyway ngoja niliache kama lilivyoInategemea na mbwembwe utakazoingia nazo. Ukiwa moto sana, unaweza sogeza mutoto kwa angle ukapiga tako zako tatu ukakojoa ukampatia pesa yake, hapa utapata chuma mbonga.
Ukija umepoa sana lazima utangulize pesa, hapo kinachofuata ni kifo cha mende i.e staili zoelevu. Kuepuka haya yote huwa naenda nikiwa nimechangamka!
Awee! [emoji23]Kagua vizuri mkuu hiyo chamber hamna qel mabadiliko mbona Jana nilikuwepo sehemu ya tukio?
Tunajuaje kama rinda zilitoka salama kwenye mtanange huo?Tena kwa mbwembwe nyingi nilikuwa nausokomezea ukuni bila huruma. Aliponiambia "mbona ukojoi?" nikamwambia nitampatia 15k badala ya 5k. Nimepiga bao moja na nusu! Tena hapo ni baada ya kusukumwa uko kwa hasira. Dadeq, nimevaa zangu vizuri, nachungulia kwa mfuko sina hata mia. N.B Simu huwa naacha gheto au namuachia rafiki yangu kwa sababu hawa viumbe hawanaga dogo. Kumbe pesa ya uchakataji sikubeba!
Acha aanze kunipandishia sauti, alooo! kumbe wana vibesi sio poa, zile sauti zao za vilainishi ni kwa lengo la kuvuta wateja! Dada poa zote si ndipo kukusanyana, wenye kunipiga kwa viatu vyenye kisigino kirefu walifanya hivyo, wenye viganja visu walifanya hivyo, wenye kucha za vikwangulio walifanya yao ili mradi niumie tu [emoji26]
Kelele za hawa mazombi zilivyozidi, wauni wakatinga pande hizo na kunikutanisha makofi, mateke na mangumi. "Au tuyafumueeee, nini!" Wakati natetemeka, nikaskia "Au tuchukue simu yake". "Hana simu". "Basi chukueni nguo zake" Baada ya utapeli huo niliofanyiwa niliamua kuingia barabara kuu na kuanza jogging kuelekea gheto nikiwa kifua wazi, pensi tu na sandals za Guchi. Ni kama vile niliota, je nisingetinga pensi nikasema nitoke na bokisa je! [emoji26][emoji26]
Ilinitokea jana saa tano usiku. Na hili nalo mkalitizame...
Hata mimi nina wasiwasi!Una uhakika hawajakugusa kabisa?
Inabidi tupime kwa chelewa au Bic kama bado ipo Rinda.21😭😭😭Tunajuaje kama rinda zilitoka salama kwenye mtanange huo?
Weka picha
Hii comment yako imenichekesha sanaUna uhakika hawajakugusa kabisa?
Kwa unyenyekevu na heshima naomba Mshana Jr utupe uzoefu wako.Sidhani kama kwenye hili unaweza kunishinda kwa uzoefu..! Anyway ngoja niliache kama lilivyo
Kijana anaumaliza mwendo angali kindaInabidi tupime kwa chelewa au Bic kama bado ipo Rinda.21😭😭😭
Tena kwa mbwembwe nyingi nilikuwa nausokomezea ukuni bila huruma. Aliponiambia "mbona ukojoi?" nikamwambia nitampatia 15k badala ya 5k. Nimepiga bao moja na nusu! Tena hapo ni baada ya kusukumwa uko kwa hasira. Dadeq, nimevaa zangu vizuri, nachungulia kwa mfuko sina hata mia. N.B Simu huwa naacha gheto au namuachia rafiki yangu kwa sababu hawa viumbe hawanaga dogo. Kumbe pesa ya uchakataji sikubeba!
Acha aanze kunipandishia sauti, alooo! kumbe wana vibesi sio poa, zile sauti zao za vilainishi ni kwa lengo la kuvuta wateja! Dada poa zote si ndipo kukusanyana, wenye kunipiga kwa viatu vyenye kisigino kirefu walifanya hivyo, wenye viganja visu walifanya hivyo, wenye kucha za vikwangulio walifanya yao ili mradi niumie tu [emoji26]
Kelele za hawa mazombi zilivyozidi, wauni wakatinga pande hizo na kunikutanisha makofi, mateke na mangumi. "Au tuyafumueeee, nini!" Wakati natetemeka, nikaskia "Au tuchukue simu yake". "Hana simu". "Basi chukueni nguo zake" Baada ya utapeli huo niliofanyiwa niliamua kuingia barabara kuu na kuanza jogging kuelekea gheto nikiwa kifua wazi, pensi tu na sandals za Guchi. Ni kama vile niliota, je nisingetinga pensi nikasema nitoke na bokisa je! [emoji26][emoji26]
Ilinitokea jana saa tano usiku. Na hili nalo mkalitizame...
Inatakiwa tuanze kulipia mbususu kwa control number kwa kweli!Kweli nchi inahitaji katiba mpya
Tunajuaje kama rinda zilitoka salama kwenye mtanange huo?
Weka picha
Hata mimi nina wasiwasi!
Tumpe pole!
[emoji56][emoji24][emoji24][emoji24]
JOB TRUE TRUE 🥲🥲Inabidi tupime kwa chelewa au Bic kama bado ipo Rinda.21[emoji24][emoji24][emoji24]
[emoji15][emoji15][emoji15]Nilifikiri ni mada nyingine ya Mpwayungu Vileji dah! [emoji16]