Nimemla shemeji mke wa kaka yangu baada ya kaka kwenda London

Nipo huku London,nimesoma uzi wako,nitakapofika hapo ni kukupoteza,mwana hizaya wewe usiye kuwa na adabu .
 
acha uongo
 
Naona umekuja na style ya kuwauzia CHAI kwa series, mwendo CHAI to CHAI.

JF inapoteza ubora kila siku,kwa type hizi za wauza CHAI.
 
hii ni ni fix
1. huwezi bet na kaka ako juu ya kumla mkewe
2. Siamini kama kaka ako anahudhuria vikao hadi london eti hana choo cha ndani hadi shemeji aoge choo cha uma
 
KATAA NDOA [emoji3544][emoji3544]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…