Nimempa mimba mama mwenye nyumba wangu

Nimempa mimba mama mwenye nyumba wangu

Hapo kwenye kufix ni kufixiwa marinda na baba mwenye nyumba so kaa Kitaalam.
 
Hama mji haraka sana kama siyo kuhama mtaa. Pia kata mawasiliano jumla.
 
Umeiweka vzuri
Wanawake sio wa kuwamini, akikwambia wewe ndio unamridhisha kuliko mumewe, hayo maneno kashawaambia wanaume wengi sana. Hata mumewe hadi akamuoa ndio alikua anamfikisha kuliko wanaume wengine wa nyuma yake na hata baada ya wewe mwanaume mwingine atakaekuja ataambiwa hivyo hivyo.

Kuhusu Mimba kuache alee.
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
😂😂
 
Umeanza mwaka vizuri apo mambo ya kulipa kodi sahau,utakula pension yake fresh ila omba mtoto atakayemzaa msifanane
Mtoto mkifanana tutaskia maskini kijana amekufa akiwa mdogo
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Kijana ushakula Tunda kimasihara subiri matokeo tu.
Watu wapite na iyo Beacon tu hamna namn
 
Huna
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Huna akili ya kichwani na Maisha pambana na hili yako
 
mkuu kuna kusukumwa tope pia kwahyo endelea kupiga paipu wake za wenyewe.
 
Kwanza pumbavu zako kwa kumtafuna mama mwenye nyumba, pili ni kawaida sana kujikuta umezama kwenye penzi na mwenye nyumba au mpangaji mwenzako, kula, kula ila usitie mimba itakuwa kasheshe kama uliyemtafuna ana mahusiano ya kindoa
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Patakuwa kitanzini hapo

Kamtaa fulani kako juu ya uhindini

Kazi kwako
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Huyo teacher anafundisha Dodoma ana private car huwa anaenda nayo kazını 😂
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..

Haya mambo yananihuzunisha sana.Pole sana maana pia nahisi ulilogwa au umejiloga mwenyewe.Pia ujue tu kuna mgogolo uliotulia ukisubiria muda.Hapo hamjapima afya bado upate jambo la pili la kukusumbua akili.
 
Naombeni ushauri ndugu zangu,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, naishi mkoani Iringa hapa mjini.

Nimepanda kwenye nyumba Moja hapa mtaani (mtaa sitautaja) hapa nilipopanga pia mwenye nyumba anaishi hapahapa

Mama mwenye nyumba ni nurse na baba ni mwalim, lakini baba mwenye lakino huyu baba anafundisha eneo la mbali hivyo Huwa anarudi weekend tu lakini siku zingine Huwa analala hukohuko.

Basi nikajikuta nimezoeana na huyu mama mpaka Sasa tukajikuta tuko kwenye penzi zito, kupeana mapenzi imekuwa desturi kwetu.

Sasa juzi kanambiaa anajiona Ana MIMBA na MIMBA hii ana uhakika ni yangu..

Natamani nitoroke, nihamie asipopajua lakini ananiambia nisifanye hivo maana kanizoea Sana na swala la MIMBA anajua jinsi ya kufix na mume wakebnaogopa jamani..

Na anasema eti mimi namridhisha kuliko mume wake..
Sawa mtaalamu wa mapenzi subiri na wewe mume wake akuridhishe na ulete mrejesho huku kama unavyojitapa hapa kwa kumpa nesi mimba.
 
Back
Top Bottom