Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kapimeni kwanza ujauzito, huenda tayari ameshabeba mimba ya uzao wenye mchanganyiko wa kolo na chura.
mtoto atakuwa mwendawazimu
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸kapimeni kwanza ujauzito, huenda tayari ameshabeba mimba ya uzao wenye mchanganyiko wa kolo na chura.
mtoto atakuwa mwendawazimu
Bora umemwacha mtoto wa mtu, ndoa ya watoto huwa haidumu.Habari Wakuu,
Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza kukasirika sana but nimevumilia sana.
Jana baada ya makolo kufurushwa nimemkuta amenuna na kupika hataki [emoji23][emoji23], nikaona huu ni ujinga. Yaani ukolo wako unitese mimi? Nimetimua kwao, now simu zinaita ukweni then nitazi-block kabisa
NB: Vipi wakuu kwa mujibu wa rage kuhusu makolo, nimekosea?
View attachment 2792214
Mimi ni Yanga lkn huu ushabiki mandazi hapanaAmna nmemuacha kisa kolo
Mimi ni Yanga lkn huu ushabiki mandazi hapana
AahaaaaHabari Wakuu,
Tangu Makolo wapate ofa ya mchongo kwenda Super League (ingawa hawakuwa na uwezo), huyu mke wangu ni kolo dam dam, amekuwa wa kunipigia makele kila siku kiasi kwamba nilianza kukasirika sana but nimevumilia sana.
Jana baada ya makolo kufurushwa nimemkuta amenuna na kupika hataki [emoji23][emoji23], nikaona huu ni ujinga. Yaani ukolo wako unitese mimi? Nimetimua kwao, now simu zinaita ukweni then nitazi-block kabisa
NB: Vipi wakuu kwa mujibu wa rage kuhusu makolo, nimekosea?
View attachment 2792214
AahaaaaaaAkafanye sherehe kwa kuepuka kuishi na mjinga