Nimempa tunda ‘mubaba’, sasa yamenikuta

Nimempa tunda ‘mubaba’, sasa yamenikuta

Mi nimekoma..UMALAYA UMALAYA UMALAYA UMALAYA
utatuua.

Basi mi nilikuwa nafanya kazi kwenye stationary ya mtu na hapo stationary kuna M-Pesa. Basi kuna mubaba akawa anakuja kutoa hela mara atoe laki 7 mara laki 4 yaani haipiti siku mbili anakuja. Baadae akaanza kuniachia elfu tano elfu kumi kuwa ni keep change[emoji849][emoji849]mara aseme mabinti nyie mnahitaji matunzo sana.

Sasa na mimi na kichwa changu kama koleo iliyovunjika si nikaona hapa ndo penyewe maana nilisikia wababa wanatunza nikaona weee lazima na mimi nimiliki I phone ata I phone 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basii NIKAWA najichekesha kama fisi. Akaongeza maokoto mara aniachie afu ishirini basii mi nakenuka tu limdomo.

Basii mubaba akanitongoza nikakubali, tukaenda kama mwezi anipa maokoto tu. Si akasema hawezi kuendelea kuweka pesa kwenye benki iliyofungwa[emoji1787][emoji1787], nikaona kwani nini ngoja nimpe kadudu.

Basii siku hiyo nikaenda kununua vipipi utamu na urimbo maana nilisikia hivo vitu ni fire. Nawaambia nikatumia, basi nikakutana na yule mbaba nilidinywa hadi kitu ikawa inawaka kama volcano mzee yule ule sio mguu wa mtoto ni mguu wa kikongwe; mweusi umekomaa sasa ikisimama kama mstimu mpya.

Baada ya kutoka pale shogaenu nawashwa kwenye k hadi najikunia mswaki[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]yaani nasugua kama nasugua meno. Nimeenda hospital wamesema fangasi nimejibu lakini wapi nae yule mzee anasema kadudu kanamuuma kama kamevunjika tangu akutane na mimi[emoji24][emoji24]mie ndo niko hoi KWA muwasho.

Naombeni dawa ya asili nyie, kitaoza kidudu mwenzenu nishindwe kudinyana.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Ulilala naye bila Condom? Kwa kweli sina hata ushauri kwa watu wa hovyo kama wewe.
 
Ulilala naye bila Condom? Kwa kweli sina hata ushauri kwa watu wa hovyo kama wewe.
Unataka na wewe umgonge bila condom au unamshauri nini akagongwe tena bila condom hio ndio dawa ya asili?
 
😂😂😂😂😅😅
Yes 'Mideko' hautawashwa Ila shughuli utayoipata hautaacha kusimulia hadi Jf utafungulia Uzi kusimulia shughuli pevu yaan ni mgongo mgongo haswa unagongwa hadi unagongeka
 
Mi nimekoma..UMALAYA UMALAYA UMALAYA UMALAYA
utatuua.

Basi mi nilikuwa nafanya kazi kwenye stationary ya mtu na hapo stationary kuna M-Pesa. Basi kuna mubaba akawa anakuja kutoa hela mara atoe laki 7 mara laki 4 yaani haipiti siku mbili anakuja. Baadae akaanza kuniachia elfu tano elfu kumi kuwa ni keep change[emoji849][emoji849]mara aseme mabinti nyie mnahitaji matunzo sana.

Sasa na mimi na kichwa changu kama koleo iliyovunjika si nikaona hapa ndo penyewe maana nilisikia wababa wanatunza nikaona weee lazima na mimi nimiliki I phone ata I phone 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basii NIKAWA najichekesha kama fisi. Akaongeza maokoto mara aniachie afu ishirini basii mi nakenuka tu limdomo.

Basii mubaba akanitongoza nikakubali, tukaenda kama mwezi anipa maokoto tu. Si akasema hawezi kuendelea kuweka pesa kwenye benki iliyofungwa[emoji1787][emoji1787], nikaona kwani nini ngoja nimpe kadudu.

Basii siku hiyo nikaenda kununua vipipi utamu na urimbo maana nilisikia hivo vitu ni fire. Nawaambia nikatumia, basi nikakutana na yule mbaba nilidinywa hadi kitu ikawa inawaka kama volcano mzee yule ule sio mguu wa mtoto ni mguu wa kikongwe; mweusi umekomaa sasa ikisimama kama mstimu mpya.

Baada ya kutoka pale shogaenu nawashwa kwenye k hadi najikunia mswaki[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]yaani nasugua kama nasugua meno. Nimeenda hospital wamesema fangasi nimejibu lakini wapi nae yule mzee anasema kadudu kanamuuma kama kamevunjika tangu akutane na mimi[emoji24][emoji24]mie ndo niko hoi KWA muwasho.

Naombeni dawa ya asili nyie, kitaoza kidudu mwenzenu nishindwe kudinyana.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Kunaa tyubu ya kukamulia kwwnye bomba nenda phamacy ukaiulizie hiyo unakamua kwenye bomba tyub nzima sthen ukimaliza kuoga usiku jifute vizuri then chuxhumaaa halafu ile bomba unaliingiza lote unasukuma ile dswa yote
 
Yes 'Mideko' hautawashwa Ila shughuli utayoipata hautaacha kusimulia hadi Jf utafungulia Uzi kusimulia shughuli pevu yaan ni mgongo mgongo haswa unagongwa hadi unagongeka
0b892fd0236fe8f1731580f827ceb857.jpg
 
Muandiko una uanaume fulani, sasa sijui ni dume unazingua watu au ni gay umekuja kivingine.

Kwa mwandiko huu kama wewe ni mtoto wa kike, basi kitandani utakuwa MGUMU sana kama unakula kokoto...
Vijana wanasema HUNYUMBULIKI.😂🤣
 
Muandiko una uanaume fulani, sasa sijui ni dume unazingua watu au ni gay umekuja kivingine.

Kwa mwandiko huu kama wewe ni mtoto wa kike, basi kitandani utakuwa MGUMU sana kama unakula kokoto...
Vijana wanasema HUNYUMBULIKI.[emoji23][emoji1787]

Hivi mnawezaje kutofautisha jinsia ya mtu kwa kuangalia muandiko wake, nip nashangaa tu comment weng mnasema ni dume
 
We ni shoga? Maana naona muandiko wako kama wa kiume flan alaf unarudi tena kuwa wa kike kidogo kwa mbali au we ni shemale?
 
Hivi mnawezaje kutofautisha jinsia ya mtu kwa kuangalia muandiko wake, nip nashangaa tu comment weng mnasema ni dume
Ngumu kukuelezea kwa comments Moja kwa sababu hiki kitu nimekisomea darasani kwa miaka 7 hivi.
Nimesoma cuba miaka miwili
Russia miaka mi3
Israel miaka 2.😂🤣

Ila we jua tu huu mwandiko una uanaume fulani
 
Back
Top Bottom