Nimempa tunda ‘mubaba’, sasa yamenikuta

Nimempa tunda ‘mubaba’, sasa yamenikuta

Mi nimekoma..UMALAYA UMALAYA UMALAYA UMALAYA
utatuua.

Basi mi nilikuwa nafanya kazi kwenye stationary ya mtu na hapo stationary kuna M-Pesa. Basi kuna mubaba akawa anakuja kutoa hela mara atoe laki 7 mara laki 4 yaani haipiti siku mbili anakuja. Baadae akaanza kuniachia elfu tano elfu kumi kuwa ni keep change[emoji849][emoji849]mara aseme mabinti nyie mnahitaji matunzo sana.

Sasa na mimi na kichwa changu kama koleo iliyovunjika si nikaona hapa ndo penyewe maana nilisikia wababa wanatunza nikaona weee lazima na mimi nimiliki I phone ata I phone 2[emoji1787][emoji1787][emoji1787]basii NIKAWA najichekesha kama fisi. Akaongeza maokoto mara aniachie afu ishirini basii mi nakenuka tu limdomo.

Basii mubaba akanitongoza nikakubali, tukaenda kama mwezi anipa maokoto tu. Si akasema hawezi kuendelea kuweka pesa kwenye benki iliyofungwa[emoji1787][emoji1787], nikaona kwani nini ngoja nimpe kadudu.

Basii siku hiyo nikaenda kununua vipipi utamu na urimbo maana nilisikia hivo vitu ni fire. Nawaambia nikatumia, basi nikakutana na yule mbaba nilidinywa hadi kitu ikawa inawaka kama volcano mzee yule ule sio mguu wa mtoto ni mguu wa kikongwe; mweusi umekomaa sasa ikisimama kama mstimu mpya.

Baada ya kutoka pale shogaenu nawashwa kwenye k hadi najikunia mswaki[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]yaani nasugua kama nasugua meno. Nimeenda hospital wamesema fangasi nimejibu lakini wapi nae yule mzee anasema kadudu kanamuuma kama kamevunjika tangu akutane na mimi[emoji24][emoji24]mie ndo niko hoi KWA muwasho.

Naombeni dawa ya asili nyie, kitaoza kidudu mwenzenu nishindwe kudinyana.

[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Nenda hospital kwa matibabu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Kumamakewallah tutafika kweli kwa hali hii astaghafurahilaazimu alhumdulilah labinallamin kweli hivi tutasogea hata kidogo? Sasa niambie ni wanawake wangapi mabinti njaa wanaogongwa km huyu?

Dawa yako ni moja tu binti tafuta mwingine akugonge tena Ila awamu hii tafuta kijana wa kazi wale wanaofanya kazi ngumu ngumu mtafute akugonge akusugue huo muwasho utapona, km una swali uliza
Hiv ukitaja kmake wallah hujamtukana Mshua wa kiislam. Nauliza tu honestly.
 
Inabidi upate sindano hapo maana inaonekana hyo ni fungus sugu.
 
Nyie mabata mzinga muko na stress za relationship munikome km mulivyokomea kwa titi za mama zenu. Na nyie wakuja kwa pm kujichekesha siko apa atii kutafuta bwana vidampa wakubwa nyee!!
Na kwale wale wako na advice muzuri, Bwana awa bless sana 🙏 I’m doing well now

tchao till next time
 
Back
Top Bottom