Nimempa ujauzito binti nisiyempenda....nifanye nini?

Ulifanya kosa kubwa sana kama hukuwa na mpango nae tokea 2008 na bahati nzuri kikazi mko mikoa tofauti si ndiyo ilikuwa nafasi nzuri ya kukata mawasiliano? Kama uliendelea kuwasiliana nae kwa kipindi chote hicho 5yrs basi anakufaa hizo kasoro zingine zitarekebishwa mbele kwa mbele maana inaonyesha chance yako kupata mwanamke mwingine ni ndogo ( from 2008 to 2012 hukuweza kupata girlfriend mwingine).
 
mimi naamini kabisa ulitaka kuzaa na huyo dada la sivyo ungetumia kinga,, cha maana hakikisha unamtunza mama mpaka mtoto atakapozaliwa halafu mkubaliane cha kufanya juu ya mtoto.
 
Kwanza ww elimu yako haijakusaidia ktk kote,yaan unatafuta master halafu unakua na uhusiano na bint ambye humpend na unagonga kama uko mbinguni,yaan hata mimi nakushnda m2 ambaye cna future nae sigongi peku,ww unazan kondom ziliwekwa ajir ya ukimw n mimba au uldanganywa kama Adam?
Ushauri,mwache ajifungue 2,ulee ila ukome usirudie tena,m2nze ukisema umkatae walai upati tena mtoto,na hta ukimpata mwanamke unaempenda akikwambia ana mimba yako jua kekundu.
 
yaani mlikua mnapigana kavu kavu aisee...tutaangamia wengi sana. Mi ningekushauri ubebe mzigo tu maana ungekua humtaki ungetumia protection...starehe umepewa saivi unataka kukimbia
 

Clean your own mess!
Marry her and learn to love and appreciate her. She loves and adore you, nafikiri ni kitu ambacho watu wengi humu tungependa ("to be loved"). Usiende mbali, angalia wenzako wanavyolilia mapenzi, wewe huyataki unataka kupenda kungine ambapo hilo penzi lako laweza lisirudishwe.

Au be a coward, and irresponsible muache azae huyo mtoto aje alelewe na baba mwingine.
 
haukuwahi kusikia matangazo ya kutumia kifudusi(condoms)??????????

I hate hiyo sentensi, maana nilishaambiwa hivyo wakati nimeenda home kujifungua mtoto wangu wa ujanani. i met vijana ambao tumekuwa nao kitaa nikiwa nasukuma mtumbo; halafu mtu ananiambie, "hivi Kaunga, matangazo ya condoms wewe hujawahi yaona?"

Ukweli mchungu
 

Nimeona like haitoshi.
Usipofuatilia ushauri huu pamoja na mingine, ujue kuna janga unalitafuta. I can only wish you whatever you deserve!
 
wewe kaka unatuletea comedy hapa jf, hutaki kuzaa watoto wa mama tofauti at the same time hutaki kumuoa huyo dada, kwanini uli-do bila kutumia rambo?

hilo ni chaguo ulilokupa mungu. huwezi kufanya mapenzi kwa mtu usiyempenda labda utuambie huyo dada alikubaka
 
kwani uongo kaunga..?
wewe ulijiachia tu...ulitegemea nini?
 
5 years kwenye relationship na mtu usiyempenda??acha kutudanganya..tena unasex nae bila condom afu unasema humpendi??aisee elimu yako haijakusaidia!
 
Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia, at 34 hujui utakalo?
 
kwani uongo kaunga..?
wewe ulijiachia tu...ulitegemea nini?

Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
 
Kaunga, kumbe wewe ndo huwa unanifuata? Eiyer, njoo umtoe huyu mkeo, kaniganda kama ruba lol

 
Last edited by a moderator:
wewe kaka hukuwa na nia ya kumuacha huyo dada. tangu 2008 na mpo mikoa tofauti, leo ni 2012 kapataje mimba yako? ingekuwa kweli humpendi kama ulivyosema, alipomaliza chuo na kupata kazi tu ungeachana kabisa naye, sasa wewe nanii yake unaitumia, alafu unasema humpendi, tukueleweje? huyo oa tu ndugu yangu
 
Huyo kama humpendi jua hata ukimwambia atoe hatakubali. hiyo ndo imekula kwako madhee. naomba mumlee mtoto kwa mapendo. mtu mzuri ni yule aliye lelewa na baba na mama. mwambie ahudhulie clinic. Mia
 
Kumbe ndo maana wewe ni philosopher?
It's good though to have someone call you 'mom'

Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
 
Kaunga, kumbe wewe ndo huwa unanifuata? Eiyer, njoo umtoe huyu mkeo, kaniganda kama ruba lol

He remind me of the boy l used to know.....
Wimbo wa nani yule....

Kweli tena hiyo kauli nilisharushiwa ya usoni, na one Fundikira son; huenda akawa huyu huyu Boss wako. Inabidi unipe ID yake ya ukwelii.
 
Ndio maana nilisema ukweli mchungu.
Mimi niljiachia kwa kuwa kwanza na tamu that way; lakini pia nilitaka mtoto, na sijawahi juta. He is a reason for everything right now, l mean my sonushka!
kumbe tamuuu eeeh ngoja nijilipue na mimi siku moja nifaidi utamu..
 
Kumbe ndo maana wewe ni philosopher?
It's good though to have someone call you 'mom'

You have no idea, ukishapata ndio utaelewa. He is big, 11 yrs now!

Sio hivyo tu, anasema l am the best mom in the whole world!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…