OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Acha uzwazwa kwani kondomu ndio inaondoa uzito wa dhambiMkuu si ungetumia condom.
Upumbafu huu utaisha kweliKama amekuoa yeye sawa ondoka tu, ila kama ni mke wako basi mwambie aondoke yeye utangaze ndoa na housgirl.
Halafu kama anakunyima tunda wewe endelea kula huyo mfanyakazi wenu. Wajawazito ni watemu sijapata kuona
Kwanza talaka ikitoka mwanamke ndio anapaswa kuondoka wakati wanashughulikia kugawana maliWanawake bana eti aachiwe nyumba hata aibu haoni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo ndio utagundua vitabia vya washenziSasa kwani mwalimu kumla mwanafunzi shida iko wapi....sii kila mtu anakula kwa urefu wa kamba yake.
MPWAYUNGU village njooo hukuuuu,watu wako wanauana hukuMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Fanya kama anavyotaka ukaanze upya na mke mdogo.. Hapo hakuna mapenzi tena na ukizidi kung'ang'ania yanaweza kukupata makubwa zaidiMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Hutakiwi kuchomoka ila unatakiwa kuchomekwa.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Uzi ufungweWatu wanatoa ushauri wa kijinga sana. Kwanza hapo haujatenda kosa wala huja dhambi. Wanawake ni wengi wanahitaji wanaume. Ulichokifanya ni kitendo cha kupongezwa. Mkeo ni mjinga na mpumbavu sana tena hana akili na hana hofu ya Mungu. Hivi mkiachana atakayekuwa anaenda kusali kanisani kuomba mwenza si ni yeye, hata ikitokea umekufa mkeo ataonewa huruma hata Mungu alisema tuwajalo wajane. Kwa ufupi wewe mwanaume una muhimu sana ktk familia. Kama anataka hivyo wewe timka na house girl kapange anza upya, atakuja kukuomba msamaha.
Is when we need the power of holy Ghost of God, that can touch beyond five senses, where teachers, pharmacist and pastors can't touch [emoji137][emoji137]Mwanadamu anayeendeshwa na matamanio yake ni sawa mnyama wa porini na huyo ni mpungufu wa akili........
Kama we ni muislamu mbadilishie kesi wewe tangaza ndoa ya mke wa pili ili yeye aende mahakamani kuomba talaka......na lingine kimahaka hukumu ya kuzini mwanandoa sio kufukuza mwanaume ni fine isio zidi 50,000 we komaa nae tunga sababb kwanini ulipita baki tatu, sema alikua anakunyima unyumba na unawasisi nae kazini ndo maana umeamua kuoa mke wa pili, kama hawezi kuvumili uke weza akupishe tu.Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Tunakaa Kiluvya, Dar, Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Harafu baadae maskini wanakuja kukejeliwa hapa single mama huku mtu mzima na ufahamu wake kaharibu future ya huyu mtoto sidhani huyu binti kama Ana miaka 18, hakika wanaume mna roho mbaya sana imagine ndo binti yako.Halafu sasa ukute hako kabinti bado katoto underage masikini. Sijui kataenda wapi.
Dhambi zingine nzito sana!