Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Jibu swali kisha uulize swali, hiyo ndio Dialogue nzuriuna uhakika hajamuharibia maisha?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali kisha uulize swali, hiyo ndio Dialogue nzuriuna uhakika hajamuharibia maisha?
Kwa hiyo umekuja kutuomba radhi au tukushauri?Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Sasa Mzeee mwenzangu nisikilize:Tatizo ni mimba kwa house girl,Muondoe hapo mpeleke kwa dada wa mbalii unaemuamini,Akifika huko utajua mtafanyaje ila huku home usiseme chochote,yakipita masaa 24 katoeni taarifa kituo cha polisi.
Anza kurekebisha home sasa na mama watoto. Sababu ndio shida yako unamtaka yeye na watoto wako.
Mwambie mama huyu dada alilipoka tu si unaona kakimbia. ile taarifa ya polisi itaitumia mahakamani kama wife bado anachachamaa.
Mambo yakienda sawa hakikisha bint anarudi kwao na umuhudumie mpaka akae sawa ikiwezekana mpe mtaji bila yeye kujua ili asihangaike.
Kwaiyo kapanda cheo😀😀😀Mbona makasiriko si umeambiwa hausi gelo alikuwa anamtega kwani kasema amembaka? Hapo hajaharibu maisha ya house girl Bali kaharibu familia yake kwasababu house girl alikuwa kwenye mission na mission yake amemaliza Kwa mafanikio kwasababu amepanda cheo kutoka kwenye house girl kwenda kwenye mzazi mwenzake hapo hata treatment inakuwa tofauti na Kwa hatua hiyo house girl atasikilizwa kokote anakoenda mambo yakienda tofauti
Ndio Kwa hausi gelo kapanda cheo, asingekuwa anataka asingeweka mitego, kwake aliweka mtego na mtego ukanasa Sasa anafurahia mavuno, shughuli iko kwa aliyenaswaKwaiyo kapanda cheo😀😀😀
Lakin hatujamsikia hausi gelo labda nae alitegwa😀😀Ndio Kwa hausi gelo kapanda cheo, asingekuwa anataka asingeweka mitego, kwake aliweka mtego na mtego ukanasa Sasa anafurahia mavuno, shughuli iko kwa aliyenaswa
Mwanamke labda ategwe na pesa TU hakuna mtego mwingine utamnasa tofauti na wanaume mitego mingi sana, kwahiyo naamini hapo kwenye mitego kama ilikuwepo aliyetegwa ni mwanaumeLakin hatujamsikia hausi gelo labda nae alitegwa😀😀
Ungeuliza kwanza kabla ya kufanya ulivyofanya,si ulijiona mjanja eeh? baada ya mambo kukusanukia unakuja unakimbia kuuliza hapa,hujui watu wako bize wanaumiza vichwa na sakata la bandari?Mimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Kwani house girl cyo mwanamke? Hana uchi, kwa taarifa yako house girl anaweza kuwa mzuri na mtamu kuliko hata mke wa ndani.Wachafu sana
Ndio hadi hausgeli Jamani? Kwa huu wivu wangu hausgirl ningemlamba makofi kwanza
DohMpangishie chumba huyo dada mbadilidhie namba ya simu na mkienda mahakamani unakataa macho makavu kuwa hujawahi kulala na huyo binti
Tatizo Wanawake wanaojifanya matawi ya juu huzani pia kua K zao ni tamu sana kuliko za Wanawake wa hali ya chini mfano ma back tatu! Wakati kusema ukweli sungura tope ni mtamu sana kuliko Kuku bloila wa supermarket!!Kwani house girl cyo mwanamke? Hana uchi, kwa taarifa yako house girl anaweza kuwa mzuri na mtamu kuliko hata mke wa ndani.