Pole sanaMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Mbona hao wanaoshauri hawawapi mahouse girl zao mimba?Kabisa wanashauriana ushenzi mtu anaekutunzia familia si ni sawa na ndugu yako
Una uhakika amemuharibia huyo binti maisha?Madhara ya kukiendekeza kichwa cha chini, kazi kweli kweli umemuharibia binti wa watu maisha.
Sasa mimba tu nayeye anakasirika
Vitu vidogo hivyo
Unapomnyima unataka akampe mwingine mimba sio?Kwa nilivyoelewa mke unyumba hatowi baada ya kujua hicho kilichotokea.
Hata mie nisingempa kwa kweli kwani kumpa mimba mdada wa kazi anayetulelea watoto si jambo dogo eti.
TAKIBIIIIR....!Owana nae.
Uislam mwema sana.
Aah! Vitu vingine vinakera na kuudhi eti MwanaYanga mwenzangu.Unapomnyima unataka akampe mwingine mimba sio?
Kumnyima ndio suluhisho Mwanayanga mwenzangu?
una uhakika hajamuharibia maisha?Una uhakika amemuharibia huyo binti maisha?
Anza na dna ya watotoMimi ni mwalimu, mke wangu nae ni mwalimu, tunafundisha shule tofauti lakini ziko jirani. Tumejenga nyumba yetu na tuna watoto wadogo.
Tatizo langu limeanza baada ya kupata house girl mpya ambaye alikuwa ananitega. Uzalendo ulinishinda, tukitoka na wife asubuhi mimi namuacha shuleni kwake na pikipiki yangu narudi nyumbani kumla house girl.
Sasa house girl ana mimba, mke amembana amesema mimba ni yangu. Wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto.
Tuna miezi mitatu hataki nimguse.
Nitachomokaje?
Mbona makasiriko si umeambiwa hausi gelo alikuwa anamtega kwani kasema amembaka? Hapo hajaharibu maisha ya house girl Bali kaharibu familia yake kwasababu house girl alikuwa kwenye mission na mission yake amemaliza Kwa mafanikio kwasababu amepanda cheo kutoka kwenye house girl kwenda kwenye mzazi mwenzake hapo hata treatment inakuwa tofauti na Kwa hatua hiyo house girl atasikilizwa kokote anakoenda mambo yakienda tofautiMabinti wengi wanatoka familia zenye maisha sio mazuri sana akipata huo mshahara ndio anasaidia familia yake kwanini umuharibie maisha, huwa mnakuwa mnafikiria wangekuwa ndugu zenu. Tena hufai kuwa Mwalimu hata wanafunzi wako huenda unawala wewe