Nimempa ujauzito housegirl, wife amekwenda mahakamani anataka niondoke nimuachie nyumba na watoto

Kwa hiyo umekuja kutuomba radhi au tukushauri?
 
Itakuwa alikutawala sana Huyo mwanamke wako!

Hata ndugu watashangaa Mwanaume mzima kufukuzwa na mkewe ndani ya nyumba !

Lakini yanatokea sana tu na siku hizi kasi imeongezeka ya wanawake kuwafukuza wanaume zao kwa visingizio mbalimbali.

Hamuoni haya hata ndugu zake watajua ndugu yao kumbe alikuwa Anaya waliwao na mkewe.
 

Nilikushauri hapo juu bado tu hujaelewa
 
Kwaiyo kapanda cheo😀😀😀
 
Kwaiyo kapanda cheo😀😀😀
Ndio Kwa hausi gelo kapanda cheo, asingekuwa anataka asingeweka mitego, kwake aliweka mtego na mtego ukanasa Sasa anafurahia mavuno, shughuli iko kwa aliyenaswa
 
Ndio Kwa hausi gelo kapanda cheo, asingekuwa anataka asingeweka mitego, kwake aliweka mtego na mtego ukanasa Sasa anafurahia mavuno, shughuli iko kwa aliyenaswa
Lakin hatujamsikia hausi gelo labda nae alitegwa😀😀
 
Ungeuliza kwanza kabla ya kufanya ulivyofanya,si ulijiona mjanja eeh? baada ya mambo kukusanukia unakuja unakimbia kuuliza hapa,hujui watu wako bize wanaumiza vichwa na sakata la bandari?
 
Wachafu sana
Ndio hadi hausgeli Jamani? Kwa huu wivu wangu hausgirl ningemlamba makofi kwanza
Kwani house girl cyo mwanamke? Hana uchi, kwa taarifa yako house girl anaweza kuwa mzuri na mtamu kuliko hata mke wa ndani.
 
Ondoka mshenzi mkubwa wewe...fungasha kabisa kumbaf
 
Kwani house girl cyo mwanamke? Hana uchi, kwa taarifa yako house girl anaweza kuwa mzuri na mtamu kuliko hata mke wa ndani.
Tatizo Wanawake wanaojifanya matawi ya juu huzani pia kua K zao ni tamu sana kuliko za Wanawake wa hali ya chini mfano ma back tatu! Wakati kusema ukweli sungura tope ni mtamu sana kuliko Kuku bloila wa supermarket!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…