Nimempa ujauzito mgumba

Itakua ana k yake ina vyumba vyumba ...mijusi ilkua ina ishia kwenye kona ..yako ika fanikiwa kufika mlango wa nyuma
 
Wema anakuhitaji. Okoa jahazi la rd sweetheart. [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Mbona kawaida tu, sema majira ya mataifa ndiyo yalikuwa yamewadia. Majira yamewadia na yakakukuta katika nafasi nzuri ya kutekeleza jambo hilo

Huyo mwanamke alikuwa na matatizo huko nyuma, na kupata huo ujauzito ni juhudi na matokeo ya mumewe kuangaika nae kumtafutia matibabu ya hapa na pale.

Sema tu amekuja kupona hilo tatizo wakati ambapo yeye na mumewe hawako pamoja.

Hayo majira yamgempata mwanaume yeyote aliyekamilika, mbona angemtia mimba tu kama wewe ulivyomtia hiyo mimba
 
Mkuu nawewe hii ka si chai basi tenaa!
First date na ukapiga kavuuuuuu???![emoji1436]‍♂️
 
Mtoto atakayezaliwa atakuwa special
 
Mgumba sasa amezaa.... mgumba sasa amezaa... tena kwa fujo mapacha waatatu, wawili warembo kama mama yao na mmoja dume sura ya baba yake kopiraiti eeeeeh. Dah nimekumbuka tu huo wimbo
[emoji1787][emoji1787] nilivyosoma title ya huu uzi, huo wimbo ukaja kichwani
 
Acha mungu aitwe Mungu ameonesha yule baba hakutenda haki
Kuna imani kuwa mgumba ni mwanamke, kwa kesi hii na nyingi nyingine, wagumba ni wanaume, na hao ndio wanatuletea ushoga mjini, na wapo wengi tuu
 
Umepiga show ya kueleweka kijana...hongera.....au sometime labda maswala ya sperm count
 
Kuna imani kuwa mgumba ni mwanamke, kwa kesi hii na nyingi nyingine, wagumba ni wanaume, na hao ndio wanatuletea ushoga mjini, na wapo wengi tuu
Kweli kabisa na dhana nyingine ni kuzaa watoto wa jinsi Fulani tu wanasingizia wanawake ila shida IPO kwa baba
 
Nenda kwa yule dada anajiita 'Komando' baada ya miezi 6 utakua sio mwezetu.
 
Wewe ni dume la Mbegu hongera sana mengine utajaza mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…