Hauna mashtaka ila una adhabu ya kuliwa kisamvu kikavu tu!
we subiri WITI yako iliwe bhaassiiiiHabari zenu wanajukwaa.
Sakata hili limenitokea karibuni kibaya zaidi mumewe akajua mimba ni yangu...Sasa jamaa ananitafuta na kutaka kunishtaki, je nina mashtaka ya kujibu
Je anaweza kunishtaki...?
Adhabu yake ikoje ambavyo nitakutwa na hatia
Ubabe wa kunipumulia kisogoni hana
we subiri WITI yako iliwe bhaassiiii