Nimempambania kapata kazi, salary ni 1.5m gross kaikataa kisa kapangiwa kwenda mkoani Mbeya

Au hiyo 500 isiyo na makato inamzuzua?

1.5
Kama alisoma na mkopo
Wanalamba almost laki 7 za statutory deduction.

Au ameona inayobaki ni sawa na ya muhindi [emoji23]
Tena halipi bills kama kodi ya nyumba etc huko mbeya anaenda kujitegemea fully, kadogo kamefikiria mbali
 
Huyo umalaya unamsumbua. Anaogopa kumwacha mpenzi wake. Ana akili ndogo za kuona mbali. Siku kibarua kikiota nyasi na mpenzi wake amwambie kuwa ni mjamzito atakuomba tena umpiganie. Hapo ndipo unatakiwa umfukuze kama mbwa akili zimrudie
Kaka umepiga kwenye mshono (i mean upo sahihi kwa asilimia nyingi sana),madogo wakikoleaga kwenye penzi hawafikirii future kabisa
 
What a waste mamaeee wanabia sana
Chamsingi nipe connection mm tutayajenga vzr tu ikitokea huko mbelen nyingine
 
Huyo dogo bado yupo kwako mpaka saivi?
 
Niunganishe na huyo dogo nimfire bila kilainshi, choko mmoja huyo.
 
Kuna lidogo letu moja lilimaliza degree ya mambo ya petrol dada yetu m moja akalitafutia kazi wizara ya nishati,lilkataa kwenda .Hata simu yangu halikupokea. Uzuri linajitegemea.Huyo wa kwako mtimue akapange.Akayajue maisha mubashara.
 
Mimi tu hapa na kumaliza degree yangu natamani nipate hata walau kazi ya Laki Tano Mungu hajanijaalia kuipata zaid ya kujikita kazi ambazo si rasmi kwa wahindi kama kibarua. Huyo ndugu amefanya nipate uchungu sana.
 
U
Mimi tu hapa na kumaliza degree yangu natamani nipate hata walau kazi ya Laki Tano Mungu hajanijaalia kuipata zaid ya kujikita kazi ambazo si rasmi kwa wahindi kama kibarua. Huyo ndugu amefanya nipate uchungu sana.
Uo ugali unautafutia pande zip mkuu tuungane ?
 
Jamaa kawaleta hapa na uzi boya muonyeshe dhiki zenu,
Na wote mmeingia kichwakichwa
 
Kama hio nafasi bado Ipo naomba Mimi nitokea nilipo niende uko
 
Since huwezi mlazimisha kwenda Mbeya, hiyo ni kama imeisha Kwa kukuvunjia heshima mbele ya jamaa. Dawa yake Mwambie unampa miezi miwili ajitegemee na Kisha unamkatia mrija Kwa wachina, akirudi kwako unamwambia kumejaa hakuna nafasi arudi bush tu Kwa wazazi wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…