Nimempangisha shoga bila kujua; na hataki kuhama

Nimempangisha shoga bila kujua; na hataki kuhama

Wewe si shida yako ni kupata kodi ya pango lako ?, na wanakulipa,sasa hizo nyegezi zako za nini kukaa unafatilia maisha ya watu,
Au huo ushoga wao umebomoa kuta za nyumba yako!
Acha uboya wewe,maendeleo hayana chama

Sent using Jamii Forums mobile app
hujui, Mimi nawajibika kiimani kwa ushenzi wao kuufanyia ndani mwangu
 
Kuna nyumba yangu moja, eneo la mbezi niliwaachia madalali wanitaftie mpangaji. nyumba nzima nilikuwa napangisha 1.2mil kwa mwezi!

baada ya kukosa mpangaji kwa mda mrefu, nikiwa safarini nilipokea simu kutoka kwa dalali kwamba kapatikana mpangaji anaefanya kazi ya kuwekezaji, yupo tayari kutoa hata 1.5mil kwa mwezi>Analipia kodi ya mwaka mzima!

sikuwa na hiyana! nikawaruhusu wampangishe na pesa yangu wakanitilia kwenye Akaunti!

Baada ya miezi kadhaa kupita nilipigiwa simu na mjumbe wa eneo hilo, akinitaarifu kwamba kwenye nyumba yangu wapangaji wanaoishi mle siyo watu wazuri, sikumuelewa! akasema nikipata mda nifike;

baada ya siku kadhaa nilitenga siku moja nikafika kufahamiana na huyo mpangaji muwekezaji!

Nilipofika, walinifungulia nikaingia, lakini aliyekuja kunifungilia alinishitua na mwendo wake, kwanza alikuwa kajifungia taulo kwapani, pia mwendo wake ulinipa mashaka, kilichonishangaza zaidi ni pozi la kukaa,
tulikaa kwenye ngazi kibarazani lakini ukaaji wake alikaa pembeni huku mikono yake kaiweka katikati ya mapaja yake! macho yake sikuyaelewa! nilijitambulisha tukafahamuana nikaaga nikaondoka,;

wakati nikijiandaa kutoka kupitia dirishani nilimuona mwingine sebuleni kajibinua akimwambia mwenzake mbona mgeni haiingii ndani??!

Nilipotoka nje, nilikutana na mjumbe, akaniambia anayoyaona na kuniambia nyumba yangu imekuwa gumzo! inafuga mashoga! kwahiyo nitafte ufumbuzi!

baada ya hapo niliwapa taarifa hao wapangaji baada ya mkataba wao kuisha nitahitaji wanipishe ili kufanya maboresho na ukarabati, cha ajabu jamaa wabishi hawataki kuhama, na wapo tayari kuongeza pesa nyingine!
nimetumia kila njia ya kuwaondoa lakini niwabishi harafu wanajitia wanajua haki za wapangaji!

Je? nifanyeje ili niwaondoe hawa machoko!!! maana nimewatishia kupandisha kodi wamesema wako tayari kulipa, nikawaambia nataka nifanye marekebisho wakaniambia Nirekebishe wakiwa humohumo!! Hawatoki!!

Nilifikilia kuwaita dawasco na tanesco ili wakate maji na Umeme! lakini nimeona napo ni usumbufu tu!!
je nifanyeje!!?
View attachment 1052841
Kaezue paa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hujui, Mimi nawajibika kiimani kwa ushenzi wao kuufanyia ndani mwangu
hiyo nayo point...na wakitoka tu,hiyo nyumba ifanyie maombi heavy kuondoa hayo maroho na mapepo machafu.
 
hiyo nayo point...na wakitoka tu,hiyo nyumba ifanyie maombi heavy kuondoa hayo maroho na mapepo machafu.
ninachowaza kwani jeuri ya pesa nani anawapa pesa zote hizi
 
hii kama sio biscuit basi wape notice ya kuhama sababu unataka hamia kwenye nyumba yako au pandisha kodi mara mbili yake


angalia isije ikawa porn house[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unataka tujue tu una hako kakibanda kako sasa umetafuta namna gani utafanya tukaone hapa jf...halafu nina mashaka wewe ndio shoga mwenyewe kwahiyo unatangaza biashara yako ili tuulize nyumba iko wapi tuje kukugegeda....blaza wewe sema tu tuje...weka namba ya simu au tukaribishe dm tuje kujilie minyama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Wewe huwezi piga Picha ya Nyumba ya Shemeji yako ukasema 'Mjengo wako'

Kweli Kuna watu wanaitwa Binadamu kwa sababu ya Umbo sio akili
Rudi kwenye hoja hayo mengine yatakuumiza roho Bure!!
 
Unataka tujue tu una hako kakibanda kako sasa umetafuta namna gani utafanya tukaone hapa jf...halafu nina mashaka wewe ndio shoga mwenyewe kwahiyo unatangaza biashara yako ili tuulize nyumba iko wapi tuje kukugegeda....blaza wewe sema tu tuje...weka namba ya simu au tukaribishe dm tuje kujilie minyama

Sent using Jamii Forums mobile app
U can't be serious bro hv jamii forum imepatwa na nn? Kwamba mleta mada awezi kuwa na nyumba ama una manisha nn? na kwann basi usipinge kwa lugha ya staa kidogo mpaka umtukane hvyo utafikili thread kakuanzishia wewe.
 
Piga tripu za mara kwa mara hapo home halafu ukifika pale jifanye ume-fall ile mbaya kwa hilo choko!!! Tena uwe unapokea simu za uzushi ambazo maongezi yake yawe kama "Hupendeki James, yaani nakupa kila kitu halafu unaleta mabwana kwenye nyumba yangu mwenyewe, it's over, and don't ever call me again!!

Basha la hilo choko likisikia hivyo lazima linuse danger ya kupokonywa zigo lake!!! Kitakachofuata hapo na magovi ya wivu na tuhuma dhid ya baba mwenye nyumba, and am telling you, ndani ya mwezi mmoja jamaa anamkimbiza "demu" ili usije ukamla!!!
 
Back
Top Bottom