Nimempangisha shoga bila kujua; na hataki kuhama

Mkuu wewe wambie kodi 10 millions kwa mwezi wasipohama chukua izo hela maana tigo yako iko salama.
 
U can't be serious bro hv jamii forum imepatwa na nn? Kwamba mleta mada awezi kuwa na nyumba ama una manisha nn? na kwann basi usipinge kwa lugha ya staa kidogo mpaka umtukane hvyo utafikili thread kakuanzishia wewe.
Mbongo halisi huyo achana nae.
 
Walete niwapangishe nyumba yangu nzima, hao ni dili kabisaaaaa. Yaaan wakulipe m18 kwa mwaka, then uwafukuze kisa wanatoa mtandao pendwa?
Njoo pm mkuu waje tu kwangu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mjomba wachana na kutafuta kiki! Zakijinga
 
Napajua hapa mbona hawakai mashoga,,,ni kimara suka hapa kama unaenda golan karibu na shule ya mazameri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…