Hebu fikiria kuwa Livingstone Lusinde ni shemeji yakoNimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni
Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.
Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?
Umempenda?? Tabia za kabila lake zinakuhusu nini? Oa anzisha serikali yako yenye sheria na taratibu unazozitaka otherwise hutaoa popote maana mpaka umpende mgogo ina maana kule kwenu hujawaona hao kina dada wa kikwenu, au na kwenyewe ni walewale?
Nimedokezwa tabia za hili kabila ambazo ni
Ustarabu kwao sifuri
Nitegemee wageni wajao bila taharifa (Kuhamia)
Nitegemee kuwalea wakwe zangu, shemeji na kadhalika
Usafi kwao ni zile nguo wazivaazo kwa siku hiyo.
Ndugu zangu, je kuna ka ukweli kokote?