Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mze kaamua kama 'noma na iwe noma'............hahaaaaaa
Mwanakijiji yuko slick sana aisee....ni Slick Willy flani hivi....yaani kajipigia pande hivi hivi mchana kweupeeee pyeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mze kaamua kama 'noma na iwe noma'............hahaaaaaa
Mwanakijiji yuko slick sana aisee....ni Slick Willy flani hivi....yaani kajipigia pande hivi hivi mchana kweupeeee pyeeee
GS kajikalia kimya anaangalia gem aliyoanzisha inavyoenda!
Kajikalia wapi wakati wenzako wameshaenda chemba (chat room)
Hahaaaaaaaaa....Roya Roy hajui what's going on.............Watu wako chemba sa hizi wanapeana maneno matamu..........Hahaaaaaaaaaaaaaa
Mwanakijiji saa hizi anashuka tu mistari na beti.....LOL
Sisi wavuvi wa samaki sijui hizi ngekewa zitatuangukia lini jamani da!.
Hahaaaaaaaaaa...Umeona eeeeh
yaani! halafu NN ndiyo sasa amechokoza nyuki maana shemeji yenu kaja juu hapa kuwa "unaona rafiki yako anasema ni wewe". Sasa inabidi nizoze na GS chemba ili niweze kuona jinsi gani tunaweza "kuyamaliza kiutuzima".. kama ni mimi, maana unaweza kujipa ujiko kumbe aliyedondokewa mchambuzi wa kisiasa yuko Ubalozini UK!
he he heeee hizi ndo sera anamwaga kule,mkuu yaani nimecheka mpaka basi,yaani hapa kama vile namuona GS mkono shavuni anamsikiliza mzee anavyoanguka mashairi kama bi kidude(AHMADA UMELEWA):drum:Ya aina hii hapa......hahaaaaaaaaaaaa
Midnight Whispers
In the middle of the night
I searched for you
Sweating and panting
Praying and waiting
For you to come!
I longed for your touch
Those midnight whispers
Alone and frightened was I
Dreaming of your return
Tears flowing,
In the dark corner of my room
My hands holding my knees
Like an abandoned groom
Calling the angels to protect you
Where are you my love?
You came into my life
Brightened everything
Giving me hope for the future
and smiles for a thousands reasons!
I'm still so deeply, crazily, and madly
In Love!
Where are you my queen
The champion of my heart
The Worrier of my dreams
Forever guardian of my hopes!
By. M.M. Mwanakijiji (The Voice of the Village)
3.Kuna watu wamehisi kuwa jamaa aliyedondokewa ni Mwanakijiji,Mmekosea kabisa,Give me a break to fall in love kwa Mzee,aah wapi hilo haliwezekani.JF ina wachambuzi wengi wa siasa,uchumi n.k kama vile Rev Kishoka,Ndege ya Uchumi,Waberoya,Tumaini,Pasco,Ben to mention the least.Kwanini awe Mzee huyu?
umeona eeh,halafu MMKJJ kampa bonge la then-kisi,wanatuzuga hawa,mshakubaliana sie tunachukua jembe la mzee tukalime.I'm not buying it. Wewe na mwenzako Mwanakijiji tayari mmeshaongea na kuja na mbinu ya kupoteza lengo. Mimi bado nasema aliyedondokewa ni Mwanakijiji
umeona eeh,halafu MMKJJ kampa bonge la then-kisi,wanatuzuga hawa,mshakubaliana sie tunachukua jembe la mzee tukalime.
Gender Sensitive 2. Kuna watu wameibuka na kunisingizia kwamba mimi niliwahi kutamka kwenye jukwaa hili kwamba mimi ni She-sijawahi kusema hivyo I stand to be corrected..Balantanda umenisingizia.. [/QUOTE said:GS.....Samahani kama nimekukwaza...hata hivyo nina uhakika na kauli niliyoisema,kuna thread ulikiri kwamba wewe ni SHE..nitaitafuta niilete hapa kama kiambatisho....Hata hivyo post yako mama kwenye thread hii inadhihirisha kwamba u mwanamke(labda iwe ni yale mahusiano ya kisasa
"Ndugu yenu nimepata namasaibu yanayonitatiza na sijapata ufumbuzi. Ni hivi,nimejigundua kwamba nimefall in love na mtu ambaye sijawahi kumuona,sijui yeye ni nani,ana umri gani,kabila lake,ameoa ama la,ana mchumba ama la kifupi ni kuwa simfahamu kabisa.Huyu mtu nimchambuzi wa mambo mbalimbali ya siasa,uchumi n.k. Na kwa bahati mbaya sana tunaishi mbali mi niko Tz mwenzangu yuko nje ya nchi wala sijui yuko nchi gani.''
Kazi njema