Nimempenda Mtu Nisiyemfahamu-Sijawahi Kumuona

Status
Not open for further replies.
haki ya nani vile!!umenigusa sana aisee

Pole kumbe na wewe...nafurahi kusikia kuwa tuko wengi..Mwenzio naogopa hata kumuanza jamaa..Niliambiwa niazne kwanza kwa kumsalimia halfu baadye ndio nimwambie..Napatwa na kigugumizi cha kuandika miye,,sijui nifanyeje!
 
umekuja kuw abingwa wa rivasi sio....

hebu uniambie kule kwenye chat ni nani huyo nianze mchakato basi

Halo halooo,yaani ujasiri wote nilionao mpaka nikafikia kusema in public na kujiweka mimi mwenyewe kwenye wakati mgumu kwani najua nimejizibia sana kupitia sredi hii,ni wengi wanaotamani kuwa nami,lakini nimetoka hadharani kwamba nampenda huyu jamaa,leo kweli nishindwe kumwambia,hiyo haiwezekani bht..Wala sikuambii,nitajitahidi mwenyewe ndio nimweleze,si unajua tena mambo ya third party ukinigeuzia kibao je?mi nitakuamni vipi?ha ha ha!
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!

yaani umenichekesha ile mbaya!!! u hv made my friday GS!!!

the fact is me sikuwadii mtu bana..................hii geresha tu!!!! kwani mwenye macho huambiwa tazama au mwenye njaa kula???
 
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa lol!!!

yaani umenichekesha ile mbaya!!! u hv made my friday GS!!!

the fact is me sikuwadii mtu bana..................hii geresha tu!!!! kwani mwenye macho huambiwa tazama au mwenye njaa kula???

Kwahiyo ulikiwa unageresha eeh...nafurahi kama nimetengeneza siku yako leo....uwe na ijumaa njema..
 
Hiyo huwa inatokea japo kwako me sijaelewa umevutiwa na nini toka kwake? Maana sauti yake huijui wala picha yake huifahamu. Mimi mwenyewe nimetokea kumpenda m2 nisiyemjua japo ipo tofauti kidogo na wewe me picha yake naifahamu sauti yake naifahamu yeye yupo singida me nipo malawi ila sijawahi mwona live ila nampenda sana tulikutana nae kwenye chat ya nimbuzz
 

Ooh kumbe tuko wengi eeh..Ukitafakari kwa makini utaelewa vizuri kwanini nampenda huyu jamaa.Hongera kwa kumpenda huyo wa kwako..Umeshamwambia?
 
Balantanda nakuona kwa mbali kwenye sredi hii.Una hoja zako za kujibu humu...bht kakupa rungu la.......soma huko between lines utaelewa..
 
Balantanda nakuona kwa mbali kwenye sredi hii.Una hoja zako za kujibu humu...bht kakupa rungu la.......soma huko between lines utaelewa..

Kauli zako za jana zimeifanya ndoa yangu ipate doa.........iko mahututi kwa kweli....Hakujalalika jana na kila kitu kimeenda mrama................
 
Ooh kumbe tuko wengi eeh..Ukitafakari kwa makini utaelewa vizuri kwanini nampenda huyu jamaa.Hongera kwa kumpenda huyo wa kwako..Umeshamwambia?
hahahaha ndio nimemwambia na tumekubaliana kila ki2 saiz ni wapenzi japo hatujuani na yeye anasema ananipenda
 
Kazi ipo.Lakini mwambie ukweli japokuwa ni ngumu kiasi.Ila sijajua kama umemuona/umekutana nae wapi.Ni hapa JF au huwa unamuona kwenye TV(CNN,BBC)?

Anasema hajawahi kumwona, pia hajasema ni hapa JF au la.... lakini GS nae na kupenda kwake!!! sasa jamani hata kufuatilia details kidogo?
 
Kauli zako za jana zimeifanya ndoa yangu ipate doa.........iko mahututi kwa kweli....Hakujalalika jana na kila kitu kimeenda mrama................

Bala,dah.Pole sana ndio ukubwa huo..Na wewe itabidi utulie sasa,usione kichaka.....
 
Kazi ipo.hii thread inaweza kuvunja record mwaka huu. . . Ngoja nimalize pepaz kwanza
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…