MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Lile lipaka linajikuta kama lenyewe ndiyo linamiki nyumba. Linaingia kila chumba linachotaka na ukitaka kulitoa linahisi mnataka kucheza nalo linaanza kukurukia mkononi au kujizungusha miguuni mwako.Kiufupi haliogopi watu kabisa, it bothers me.
Watu tunaumiza vichwa juu ya corona we unaleta simanzi la kumpiga paka!!!,hii inji inakosa watu makiniSina kawaida ya kupiga wanyama, na nawapenda sana. Sema nilikua namuwekea chakula kwa haraka akapanda juu ya meza akaangusha kioo kikapasuka kabisa.
Sasa nikashikwa na hasira nimempiga nikamuumiza na akiniona anakimbia. I wish angekua ni binadam nikamuomba msamaha.
I do i get over this?
Mchukue ,mnunulie maziwa lita mbili, alafu kaa kwenye kochi mweke mapajani mchezee manyoya basi mtakuwa marafikiSina kawaida ya kupiga wanyama, na nawapenda sana. Sema nilikua namuwekea chakula kwa haraka akapanda juu ya meza akaangusha kioo kikapasuka kabisa.
Sasa nikashikwa na hasira nimempiga nikamuumiza na akiniona anakimbia. I wish angekua ni binadam nikamuomba msamaha.
I do i get over this?
Inaonekan una uzoefuWhat a way of life with so much love. Alikuamini ila kwa bahati mbaya umemkosea but animals are smart japo hatouelewa msamaha wako try this way.
.
1. Mnunulie chakula anachokipenda sana alafu akiwa anakula make sure anakutazama yani kiwe uelekeo ambao akiwa anakula anakuona. (Hapa utaweza kumshikashika and you know they like kushikwa sana)
2. Kama umezoea kumuogesha au kumbeba basi fanya zaidi.
3. Hiyo mbinu ya kwanza ikishindikana mvizie akiwa amelala anza kumshikashika na kumtekenya huku ukiwa na tabasamu.
Am sure atakusamehe.
Dawa yake ni kumpiga kabla hajatoka eneo alilojisaidia unampiga haswa one kick hatarudia.Inaonekan una uzoefu
Mkuu Sorry What to do ikiwa unafuga Paka ambae hujisaidia ndani, not always Lakini huwa ana hiyo tabia [emoji2]
Cha kufanya ili kumuomba msamaha huyo Paka niSina kawaida ya kupiga wanyama, na nawapenda sana. Sema nilikua namuwekea chakula kwa haraka akapanda juu ya meza akaangusha kioo kikapasuka kabisa.
Sasa nikashikwa na hasira nimempiga nikamuumiza na akiniona anakimbia. I wish angekua ni binadam nikamuomba msamaha.
I do i get over this?
Hutaki azae ?Jamani paka wangu namgawa..
Kazidi umalaya mpaka saa Sasa Nina vitoto nane...! nilishagawa vitatu...
Lakini bado vidume vinamzengea nifanyaje??
Issues sio kuzaa tu.. Anazaa mnoo.. Ntalea matoto mengi yanakuwa kero..
Issues sio kuzaa tu.. Anazaa mnoo.. Ntalea matoto mengi yanakuwa kero..
Bado tu anagegedwa akat katoka kuzaa juzi tu..
Kuna kidume kilimfata juzi nikakitimua..
shit kwanzia sasa haya madume dawa yao inachemka... π£π£π£Mhh mi nahisi ni hao mapaka Dume ndo wanamsumbua. Yy si binadamu kwamba atakimbilia polisi kushtaki anabakwa. Sisi tulikua na paka wakike na wakiume, kutwa mipaka tusioijua inakuja home usiku wanagombana weee na wanampiga yule Paka wakiume, na huyu Paka wakike kutwa wanamzalisha maskin alidhoofu sana mpaka akafa π’ alibebeshwa sana mimba na alikua mdogo sana Dah.
hii ingekuwa movie ingeuza sana so sadMhh mi nahisi ni hao mapaka Dume ndo wanamsumbua. Yy si binadamu kwamba atakimbilia polisi kushtaki anabakwa. Sisi tulikua na paka wakike na wakiume, kutwa mipaka tusioijua inakuja home usiku wanagombana weee na wanampiga yule Paka wakiume, na huyu Paka wakike kutwa wanamzalisha maskin alidhoofu sana mpaka akafa π’ alibebeshwa sana mimba na alikua mdogo sana Dah.
Aisee wabheja Sana Nitamdunda pigo moja Hata sahau [emoji16][emoji16]Dawa yake ni kumpiga kabla hajatoka eneo alilojisaidia unampiga haswa one kick hatarudia.
Ila usimchukie mpige then endelea kumpenda maana ukimchukia atakuogopa na atakuwa mwizi automatically.
.
Pia hakikisheni mnapotoka ndani alipo yeye mnaacha mlango wazi yani awe free akitaka kutoka nje anatoka akitaka kulala analala na mengineyo, Nyau wengi wanajisaidia ndani kwa sababu unakuta kabanwa haja na hawezi kutoka nje anaamua kutafuta faragha.
.
Note; fanya ufanyavyo umlie timing pale anapojisaidia ndo umdunde atagundua kosa lake they're very smart hatarudia don't forget to love he/she more.
Nahene ngw'ana wa ngw'iseAisee wabheja Sana Nitamdunda pigo moja Hata sahau [emoji16][emoji16]
[emoji38][emoji38][emoji38]wrong way MkuuNahene ngw'ana wa ngw'ise
Inaonekan una uzoefu
Mkuu Sorry What to do ikiwa unafuga Paka ambae hujisaidia ndani, not always Lakini huwa ana hiyo tabia [emoji2]