Nimempiga paka kwa hasira nimemuumiza, i feel Guilt

Nimempiga paka kwa hasira nimemuumiza, i feel Guilt

Paka wako na tabia za slay queens. mashauzi kibao na kujiona wao wa maana sana pumbavu zao. analala kwenye kochi then anakuangalia kwa dharau as if wewe ndio paka, kumbe paka ni yeye!
 
Ila paka ni wanyama wenye kiburi sana, nyumbani kwa wazazi wangu kuna lipaka hilo yani halina adabu kabisa. Likiona umekaa kwenye kiti ambacho anakaa mzee wangu linakuja linaanza kukusukuma sukuma hivi ili utoke.

Mara nyingine likikuta kiti kiko wazi ndiyo linalala lenyewe na kujitanua utadhani nyumba ni yake. Hapo bado halijaanza kuunguruma kama jenereta. Basi mzee wangu ndiyo analikubali kweli lile lipaka.

Binafsi sijawahi kuyaelewa mapaka kwa ujumla.
Wewe hilo lako lipe tu chakula litasahau..
[emoji23][emoji23][emoji23]Aiseee
 
Cha kufanya ili kumuomba msamaha huyo Paka ni
Mnunulie chakula anachokipenda tena kwa wingi ikiwezekana awe anakula hadi anasaza, ndani ya wiki tu atakuelewa kuwa unamuomba msamaha then atakusamehe!
I talk cats language [emoji23][emoji23]Nyauuuh![emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
[emoji2] [emoji2] [emoji1]
 
Mimi Nilikuwa nao wawili wakawa hawakamati panya wanasubiri wakiskia kale kamlio ka kuwasha jiko la gesi wanajua msosi huo wanafoka upike chap, kujisaidia ndani kama mashindano vile daaaah

Niliwafanyia mchezo fulani mmoja kakimbia mazima,mwingine anakamata panya kimtindo anajifunza mdogo mdogo
 
Kuna siku nilimpiga paka mpaka akakimbia siku mbili haonekani, baada ya kurudi akawa muoga.

Nilijitahidi sana kuwa nae karibu mpaka akasahau akawa rafiki tena


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Sina kawaida ya kupiga wanyama, na nawapenda sana. Sema nilikua namuwekea chakula kwa haraka akapanda juu ya meza akaangusha kioo kikapasuka kabisa.

Sasa nikashikwa na hasira nimempiga nikamuumiza na akiniona anakimbia. I wish angekua ni binadam nikamuomba msamaha.
I do i get over this?
Nunuwa SAMAKI wa kukaanga FUNGU 3 NA MAZIWA PAKITI 3 MPE....hakika akikuona tena ATAKUTINGISHIA MKIA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani sijapata Msaada mpka saa.
Wala Hakuna mtu aliekuja kilichukua ili linyau Malaya utazan mashindano.
Licha ya kuniletea matoto nyomi kama team ya mpira na mm kuyagawa bado linafnya umalaya..!
Sasa hivi usiku kibarazani limevifata vidume viko vinne.. Vinasubir mzigo.. Yaan anapigwa mtungo..! Nmechoka nmevitimua hivyo bado vimerudi..!

Anaemtaka huyu Dada nyau Malaya, mdangaji aje amchukue.. 😢😢
 
Jamani sijapata Msaada mpka saa.
Wala Hakuna mtu aliekuja kilichukua ili linyau Malaya utazan mashindano.
Licha ya kuniletea matoto nyomi kama team ya mpira na mm kuyagawa bado linafnya umalaya..!
Sasa hivi usiku kibarazani limevifata vidume viko vinne.. Vinasubir mzigo.. Yaan anapigwa mtungo..! Nmechoka nmevitimua hivyo bado vimerudi..!

Anaemtaka huyu Dada nyau Malaya, mdangaji aje amchukue.. [emoji22][emoji22]
[emoji23]
 
Mimi Nilikuwa nao wawili wakawa hawakamati panya wanasubiri wakiskia kale kamlio ka kuwasha jiko la gesi wanajua msosi huo wanafoka upike chap, kujisaidia ndani kama mashindano vile daaaah

Niliwafanyia mchezo fulani mmoja kakimbia mazima,mwingine anakamata panya kimtindo anajifunza mdogo mdogo


🤣🤣🤣🤣🤣🤣umenichekesha aisee.
 
Inaonekan una uzoefu
Mkuu Sorry What to do ikiwa unafuga Paka ambae hujisaidia ndani, not always Lakini huwa ana hiyo tabia [emoji2]

Wakwangu nimemuwekea box lenye mchanga,na kazoea tyr.cha muhimu usafi wako.kila baad ya muda fulan badilisha mchanga asione kero kama litajaa....
 
Back
Top Bottom