Nimempinga mpangaji ngumi je, nipo sahihi?

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Naomba ufafanuzi,

Mimi ni introvert mtaa mzima wanaelewa kuwa sina makuu na mtu. Siongeagi na mtu yoyote pasipo sababu za msingi.

Sasa hapa ninapopanga kuna mpangaji analewa then ananigonga madirisha yangu bila sababu. Nimefungua dirisha na nimemsalimia na kupitisha mkono vizuri na kumpa ngumi ya mdomo ya nguvu yupo anatema damu.

Je, kama atatoka meno au jino nani anamakosa ? Then Mimi muislamu swala tano sipendi harufu wala kukaa na mtu analewa pombe na kunipigia kelele.

Nimefunga dirisha na nimewasha radio huku nikisikiliza hotuba ya Lissu pale Temeke kuhusu tozo.

NB: Sitoacha kugawa dozi kwa walevi mnaolewa na kuwafanyia watu vurugu, tena Usiku.
 
Naomba ufafanuzi

Mimi ni introvert Mtaa mzima wanaelewa kuwa Sina makuu na mtu

Siongeagi na mtu yoyote pasipo sababu za msingi .

Sasa hapa napopanga Kuna mpangaji analewa then ananigonga madirisha yangu bila sababu .


Nimefungu dirisha na nimemsalimia na kupitisha mkono vizuri na kumpa ngumu ya Mdomo ya Nguvu .


Yupo anatema damu jee Kama atatoka meno au jino Nani anamakosa ?

Then Mimi muislamu swala tano sipendi harufu Wala kukaa na mtu analewa pombe na kunipigia kelele.


Nimefunga dirisha na nimewasha radio huku nikisikiliza hotuba ya Lissu pale Temeke kuhusu tozo.


NB sitoacha kugawa dozi kwa walevi mnaolewa na kuwafanyia watu vurugu Tena Usiku .
Subiri pombe zikate kichwan af akakunywee ndo utamjua vizur
 
Back
Top Bottom