Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya kusikiliza mashahidi woote wa kesi hii, na kuwa kutazama mwenendo wa kesi..hukumu inatolewa kwa kuangalia sheria zetu mama za ISC
Kwa kujibu wa katiba ya ISC, sheria namba tatu ya mwaka 1973 na marekebisho yake ya mwaka 2010, natamka wazi
Nyangoma amekutwa hana hatia na mahakama inamtaka aendelee kuitumikia vyema ISC kwa moyo, akili, na uwezo wake wote
DARING IS KOMOARING, and SHARING IS CARING
Huyu mbona naona haja qualify kujiunga na ISC
Labda nyangoma nikuulize maswali kadhaa, ambayo naamini huenda ukiweza kunijibu kama vilivyo basi huenda nikapata kukushauri vema on how to handle the situation successfully, otherwise you would be in a terrible marriage...!Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Minaki achana na watu kama hawa maana wangetaka ushauri wangeomba mapema kabla ya kufanya madudu yao c sasa maji hayazoleki tena. Aanze tu upya.Habari wanajamii
Nafikiri tumshauri kama alivyouliza na si kumsema, atazidi kuumia sana kwamaana alishaumia ndo maana anaomba ushauri akamalize vipi na huyo jamaa wake za zamani
Ulifanya kwa kumkomoa angalia na yeye atakuumiza anaweza tembea na ndugu yako wa damu
Habari wanajamii
Nafikiri tumshauri kama alivyouliza na si kumsema, atazidi kuumia sana kwamaana alishaumia ndo maana anaomba ushauri akamalize vipi na huyo jamaa wake za zamani
mwendawazimu weye, na huyo mwanaume anayelialia ni fa..la tu yaani miezi sita tu mnachanganyana je ikifika mwaka. go to hellNina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Unajua Nyamayao, wanawake wengi siku hizi huu uchi wao wanaufanya kama asset fulani hivi!na ndio maana kunakuwa na malipizi na kukomoana kwa style hiyo!!!!!!!!!!!!!
Nina mpenzi ambaye tunafanya kampuni moja japo ofc tofauti na tuna miezi kama sita hivi toka tuanza ila katika mahusiano hayo tumegombana sana kuliko kufurahia sana mahusiano yetu na nimekuwa simuamini sna katika mahusiano yetu baada ya magovi mengi niliamua kutembea na rafiki yake japo si wakaribu sana ila ni washikaji huku nikijua huyo jamaa anaoa karibuni ila sikujali nikdhamiria tu kumkomesha yule jamaa sasa kajua na nimea dmit kila kitu kwake kama nimetembea na huyo jamaa na kila kitu,sasa jamaa ni ananipenda kuliko maelezo yani ni anabaki kuumia sana sana sana moyoni imefika hatua hadi analia machozi y nimemsaliti kwa mshkaji wake?kwakweli naona aibu na namuonea huruma sana anataka hadi kuacha kazi kisa hawez vumilia hayo maumivu na anaona aibu kwa wanaume wenzie sababu wanajua sasa nifanyeje kumplease nampenda ananipenda pia tena mno ndo mana anaumia na je hata akinisamehe baadae anaweza nilipa?ila najuta na kuona aibu.
Labda nimuulize nyangoma swali moja alipomkomoa kwa kutembea na rafiki yake amepata nini? Saa zingine akili zinakuwa za namna gani hapo sidhani kama kuna kitu cha kufanya ili yeye asahau sababu wakati unafanya ulidhamiria tena umesema mwenyewe ulikuwa unataka "kumkomesha" halafu sasa hivi unahitaji ushauri ufanyaje ili asahau maumivu WTF!!!!!!! Vitu vingine vinaudhi sanaaa
Mtu anamwaga maji then ndio anakuja kutuambia sisi tuyazoe? Kwanza alishasema malengo yake na amefanikiwa..... Hata hivyo, tunajaribu kumsaidia lakini katoweka, sasa tumsaidieje wakati ukimuuliza maswali ambayo huenda yangekusaidia kumshauri hajibu......?Habari wanajamii
Nafikiri tumshauri kama alivyouliza na si kumsema, atazidi kuumia sana kwamaana alishaumia ndo maana anaomba ushauri akamalize vipi na huyo jamaa wake za zamani