chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Usipende kuharibu maisha ya watu.usipende kumfanyia mtu kibaya ila niliweka kando maumivu na mateso uliyonipa kwenye utafutaji.
Labda bila wewe nisingekuwa hapa au bila wewe ilikuwa kusudi kwa muumba mimi nitoke pale.
Nakuombea kwa Mungu akupokee.
Huku nikisindikiza na wimbo wa "Nimajaliwa yeke Mungu kuona mwaka," amen 2022.
Labda bila wewe nisingekuwa hapa au bila wewe ilikuwa kusudi kwa muumba mimi nitoke pale.
Nakuombea kwa Mungu akupokee.
Huku nikisindikiza na wimbo wa "Nimajaliwa yeke Mungu kuona mwaka," amen 2022.