Nimemshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli kwa ujenzi wa Daraja la Mto Wami

Nimemshukuru Mungu kwa maisha ya Hayati Magufuli kwa ujenzi wa Daraja la Mto Wami

Wakuu kwema?

Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.

Nilivyofika pale mto wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais wetu kipenzi aliyeitwa mbinguni kwa Mungu Baba mheshimiwa John Magufuli.

Pamoja na kwamba watu wa Kaskazini walikua na mentality kwamba Magufuli kawasahau,lakini kwa uthubutu wake wa kuanza kujenga ile project pale wami hakika ni dhahiri mzee aliwapendelea sana wana wa Kaskazini.

Kesho nitafunga kwa ajili ya Magufuli ili azidi kupumzika mahali pema peponi.
sijaona vilio vyako kwa Sekretarieti ya Ajira muda sasa[emoji28]
 
Wakuu kwema?

Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.

Nilivyofika pale mto wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais wetu kipenzi aliyeitwa mbinguni kwa Mungu Baba mheshimiwa John Magufuli.

Pamoja na kwamba watu wa Kaskazini walikua na mentality kwamba Magufuli kawasahau,lakini kwa uthubutu wake wa kuanza kujenga ile project pale wami hakika ni dhahiri mzee aliwapendelea sana wana wa Kaskazini.

Kesho nitafunga kwa ajili ya Magufuli ili azidi kupumzika mahali pema peponi.

Ahsante
 
Binafsi namshukuru Mungu sana kwa kifo cha jiwe
Hata nyie wafia dini mnajua mitume wa Mungu ama manabii hawakuweza kukaa mda mrefu ili kutimiza kazi zao. Tunaanza na Yohan Mbatizaji aliuliwa na Erode nadhani kisa mnakijua tukija kwa Yesu aliukumiwa na Pilato kisa mnakijua sasa tunakuja kwa Magufuli tafakalini.
 
Wakuu kwema?

Ndio nimeingia sasa kutoka safari mikoa ya Kaskazini mwa Tanzania.

Nilivyofika pale mto wami imebidi nishuke kwenye gari na kupiga magoti chini kumshukuru Mungu kwa maisha ya Rais wetu kipenzi aliyeitwa mbinguni kwa Mungu Baba mheshimiwa John Magufuli.

Pamoja na kwamba watu wa Kaskazini walikua na mentality kwamba Magufuli kawasahau,lakini kwa uthubutu wake wa kuanza kujenga ile project pale wami hakika ni dhahiri mzee aliwapendelea sana wana wa Kaskazini.

Kesho nitafunga kwa ajili ya Magufuli ili azidi kupumzika mahali pema peponi.
Amen, ubarikiwe sana
P
 
Ulichelewa kufunga huyu alikuwa mtu wa tofauti sana.

Ni mradi gani umefanyika tangu afe? Kila mkoa almost sasa hivi kuna stendi ya maana ya kisasa reli ya kisasa hivi vyote alikwisha vilipia ndo maana mnaona vinaendelea, asingevilipia hata miaka mia msingeonaga mambo kam haya. Barabara safi, majaraja safi yaaaaani huyu mtu hakuwa wa kawaida.

Ahaaa ati juzi yule aliaemaje? Kwamba? Kumbe mtu akifanyaga kitu hawezi nyamaza milele.

Rip jpm.
 
Ulichelewa kufunga huyu alikuwa mtu wa tofauti sana.

Ni mradi gani umefanyika tangu afe? Kila mkoa almost sasa hivi kuna stendi ya maana ya kisasa reli ya kisasa hivi vyote alikwisha vilipia ndo maana mnaona vinaendelea, asingevilipia hata miaka mia msingeonaga mambo kam haya. Barabara safi, majaraja safi yaaaaani huyu mtu hakuwa wa kawaida.

Ahaaa ati juzi yule aliaemaje? Kwamba? Kumbe mtu akifanyaga kitu hawezi nyamaza milele.

Rip jpm.
Kumbe mpo wengi wenye akili! Aksante sana mkuu kwa maono yako
 
Wengi wao ni Wachaga na sasa hivi wanateleza juu ya daraja mto wami kuliko huko nyuma walivyokuwa wakihangaika kwenye kile chembamba. Leo hii kwenda Moshi wanateleza tu bila hofu.

Alihakikisha pesa zote za umma zinaingia kwenye mfuko wa taifa yaani consolidated fund. Hapa ndipo zikajengwa shule, Zahanati na hospital Lukuki. WanaChadema na Watanzania wote ni wanufaika. Na haya yalifanyika bila mbinyo wa Maandamano na kelele za kitapeli.

Ufisadi ulidhibitiwa nchi nzima..Hata Mbowe alidhibitiwa kuiba michango ya WanaChadema. Hii iliwachukiza sana Wanachadema wapigaji.
 
Huwa nikiliangalia lile daraja la wami na watu walivyokufa pale kizembe, nasema tu iiii! baghosha!
Utajiuliza miaka yooote wengine walishindwa nini kujenga lile daraja?

Tatizo Watanzania wengi wanafikiri maendeleo yanakuja kirahisirahisi tu bila watu kuumia.
Hata hizo nchi tunazoziita superpower na kuzishabikia watu walikufa/kutoka damu.

Hata maendeleo binafsi tu hayaji kama mhusika hujatoka jasho/damu na hata kuumia, na hata wenzetu wengine wamekufa/hufa wakitafuta maisha.
 
Wengi wao ni Wachaga na sasa hivi wanateleza juu ya daraja mto wami kuliko huko nyuma walivyokuwa wakihangaika kwenye kile chembamba. Leo hii kwenda Moshi wanateleza tu bila hofu.

Alihakikisha pesa zote za umma zinaingia kwenye mfuko wa taifa yaani consolidated fund. Hapa ndipo zikajengwa shule, Zahanati na hospital Lukuki. WanaChadema na Watanzania wote ni wanufaika. Na haya yalifanyika bila mbinyo wa Maandamano na kelele za kitapeli.

Ufisadi ulidhibitiwa nchi nzima..Hata Mbowe alidhibitiwa kuiba michango ya WanaChadema. Hii iliwachukiza sana Wanachadema wapigaji.
Hakuna rais aliyefanya ufisadi mkubwa kama Magufuli, matrilioni yalipotea na hadi leo watu wanafidia kwa ugumu wa maisha.
 
Huwa nikiliangalia lile daraja la wami na watu walivyokufa pale kizembe, nasema tu iiii! baghosha!
Utajiuliza miaka yooote wengine walishindwa nini kujenga lile daraja?

Tatizo Watanzania wengi wanafikiri maendeleo yanakuja kirahisirahisi tu bila watu kuumia.
Hata hizo nchi tunazoziita superpower na kuzishabikia watu walikufa/kutoka damu.

Hata maendeleo binafsi tu hayaji kama mhusika hujatoka jasho/damu na hata kuumia, na hata wenzetu wengine wamekufa/hufa wakitafuta maisha.
Sawa KABISAAA
 
Wengi wao ni Wachaga na sasa hivi wanateleza juu ya daraja mto wami kuliko huko nyuma walivyokuwa wakihangaika kwenye kile chembamba. Leo hii kwenda Moshi wanateleza tu bila hofu.

Alihakikisha pesa zote za umma zinaingia kwenye mfuko wa taifa yaani consolidated fund. Hapa ndipo zikajengwa shule, Zahanati na hospital Lukuki. WanaChadema na Watanzania wote ni wanufaika. Na haya yalifanyika bila mbinyo wa Maandamano na kelele za kitapeli.

Ufisadi ulidhibitiwa nchi nzima..Hata Mbowe alidhibitiwa kuiba michango ya WanaChadema. Hii iliwachukiza sana Wanachadema wapigaji.
Wengi wao ni Wachaga na sasa hivi wanateleza juu ya daraja mto wami kuliko huko nyuma walivyokuwa wakihangaika kwenye kile chembamba. Leo hii kwenda Moshi wanateleza tu bila hofu
Huna akili
 
Wengi wao ni Wachaga na sasa hivi wanateleza juu ya daraja mto wami kuliko huko nyuma walivyokuwa wakihangaika kwenye kile chembamba. Leo hii kwenda Moshi wanateleza tu bila hofu
Huna akili
Ongezea na Wapare
 
Back
Top Bottom