Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Huyu Nape ni waziri wa habari ila sikuelewa jambo alilotaka kuelezea kama lilikua ni lenyewe au la.
Nape ametumia muda kueleza nia nzuri ya kudhibiti matumizi ya VPN, ni kuzuia utapeli wa ile hela tuma namba hii unaoendelea nchini kupitia mitandao ya simu.
Nape amehusisha utapeli huo na matumizi ya VPN, naomba wenye kujua uhusiano huo wanifafanulie maana mwanzo tuliambiwa tusajili laini za simu kukomesha utapeli ambao bado unaendelea kwa kasi ileile.
Nape ametumia muda kueleza nia nzuri ya kudhibiti matumizi ya VPN, ni kuzuia utapeli wa ile hela tuma namba hii unaoendelea nchini kupitia mitandao ya simu.
Nape amehusisha utapeli huo na matumizi ya VPN, naomba wenye kujua uhusiano huo wanifafanulie maana mwanzo tuliambiwa tusajili laini za simu kukomesha utapeli ambao bado unaendelea kwa kasi ileile.