Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!

Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!

Mkandara

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2006
Posts
15,806
Reaction score
9,011
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
Wazungu wana msemo wao unasema ‘curiosity killed the cat’ haya mambo tuupe muda Utaamua…. Tupo hapa!!! Lissu Hana uwezo na hafai kuiongoza CHADEMA!
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ukijibu hoja hizo nitashukuru zaidi, au nimeandika uongo?
... 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
well said....good!
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
Ni ukweli mbowe kabadilika, Anahubiri maridhiano hewa, watu wanatekwa, uchaguzi serikali za mitaa umevurugwa mbowe haeleweki.Chadema Tena chini ya mbowe, muda utasema
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
Lissu anakwenda kushindwa vibaya sana.Hilo analijua lipo wazi kabisa.
 
Wapi Lissu katamka kuwa Mbowe kalamba asali?- Mimi nimeusikiliza huo mdahalo na hakutamka hayo maneno

Katika misamiati yote Tundu Lissu atumiayo hatumii msamiati wa "kulamba asali".

Isipokuwa Lissu ametamka mara nyingi kuwa Mbowe wa kabla ya kwenda jela na Mbowe wa baafa ya kutoka jela ni Mbowe wawili tofauti. Yule wa kabla ya kwenda jela alikuwa mpambanaji kwelikweli wa kutaka reforms za msingi nchini, Mbowe wa sasa ana maono yanayoendanaendana na akina Samia
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
Mzee wangu, tafadhari, hifadhi hata kidogo hizo akili ulizobakiza ili uweze kuvuka barabara kiusalamu.

Nilikuamini sana ila kwa post hii, too illogical, shallow and pointless. Kwa hivyo unajaribu kulinganisha pesa inazosemekana kapewa Mbowe (kwa sababu unazojua) na msaada ambao inasemekana kapewa Lissu (kwa sababu unazojua), unaona wapi kuna uhalali na wapi hakuna...

£@&#*#^÷^÷>#[
 
Nimemsikia Tundu Lissu akidai Mbowe alipotoka jela alibadilika kalamba asali!, Mbowe mstaarabu sana aisee jamaa anampaka vibaya sana hata kwenye mdahalo.
Najiuliza hivi, yeye aliporudi nchini alifanya nini? Upi mchango wake mkubwa baada ya kurudi nchini kutoka Ubelgiji ambao tunaweza sema Tundu Lissu aliyeondoka ndiye huyu aliyerudi. Mimi niko huku nilisikia haya
1. Tumesikia alikutana na Abdul nyumbani kwake ili arudishiwe fedha zake za maribabu nje ya utaratibu za Serikali. Inakuwaje mpokea rushwa ni Wenje sio yeye alokuwa tayari kupokea au kwa sababu hakupata fedha hizo ndio kageuka?
2. Tulisikia CCM wakimchagia Lissu kupata gari lake na akasema wakimpa atalichukua, hii imekaaje, ilitokeaje?
3. Tundu Lissu akiwa Ubelgiji alimuomba Mama Samia kumlipa hela zake Ubunge nje kabisa ya utaratibu wa malipo ya fedha za Seeikali na akalipwa. Je, hii ni Asali au sio?
Na katika fikra za kawaida mru yeyote utajiuliza Je, Mama Samia alitaka nini kutoka kwa Lissu mpaka akampa fedha hizo nje ya utaratibu wa Bunge? Nina hakika kabisa angekuwa Kiongozi mwingine yeyote Tundu Lissu asingemuacha.
Naomba kipande cha video ambacho Lissu anaonekana na kusikika akitamka hivyo tafadhali,maana nimeangalia mwanzo mpaka mwisho sijaona wala kusikia hayo maneno.
 
Mzee wangu, tafadhari, hifadhi hata kidogo hizo akili ulizobakiza ili uweze kuvuka barabara kiusalamu.

Nilikuamini sana ila kwa post hii, too illogical, shallow and pointless. Kwa hivyo unajaribu kulinganisha pesa inazosemekana kapewa Mbowe (kwa sababu unazojua) na msaada ambao inasemekana kapewa Lissu (kwa sababu unazojua), unaona wapi kuna uhalali na wapi hakuna...

£@&#*#^÷^÷>#[
Yaani ndugu Dialogist , kwa Lissu kugombea uenyekiti wa CDM kumetufanya tujue uhalisia uliopo nyuma ya hizi ID fiche zetu.

Yaani ni aibu mno mno kwa jinsi tunavgojivua nguo na kuonyesha "tupu" zetu za kichwani!

Lissu ni kiboko kwa kweli.
 
Wazungu wana msemo wao unasema ‘curiosity killed the cat’ haya mambo tuupe muda Utaamua…. Tupo hapa!!! Lissu Hana uwezo na hafai kuiongoza CHADEMA!
Wanaoweza kujua kati ya Mbowe na Lissu nani anafaa kwa wakati huu ni Wana Chadema wenyewe !
Muwaache wachague Kiongozi wao 😳!
 
Yaani ndugu Dialogist , kwa Lissu kugombea uenyekiti wa CDM kumetufanya tujue uhalisia uliopo nyuma ya hizi ID fiche zetu.

Yaani ni aibu mno mno kwa jinsi tunavgojivua nguo na kuonyesha "tupu" zetu za kichwani!

Lissu ni kiboko kwa kweli.
Mkuu kiukweli mimi sio mpenzi sana wa siasa za Chadema, ila baada ya Magufuli kutangulia mbele za haki na pamoja na kumkubali mama, lakini nahisi anapaswa aje mtu atuchangamshe. Mambo hayaendi... Sidhani kama mama anapata taarifa sahihi namna mambo yalivyo hapa ground.
 
Back
Top Bottom