nimemsikiliza Prof. Kabudi hadi mwisho, wanaoipinga sana katiba hawajaisoma vzur!!!

nimemsikiliza Prof. Kabudi hadi mwisho, wanaoipinga sana katiba hawajaisoma vzur!!!

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Leo, mmoja wa wajumbe wa tume ya katiba mpya Prof. Kabudi.. kwenye kipind cha kipima joto cha ITV.. ambapo pamoja na mambo mengine ameeleza kwa kina tafsir ya mambo makubwa katika rasimu ya katiba hiyo.. ! ctaki kusema kwamba haihitaji marekebisho na nyongeza kadhaa, lakini.. inaonesha kwamba wakosoaji wengi hawajaisoma vzur rasimu hiyo na kuielewa, wengi wanakurupuka, nimekuwa nikisikitishwa sana na watz wengi wanaochambua mambo makubwa ya kitaifa kwa maslah ya muda mfupi sana.. na hi inatokana na panic ya watu wengi hasa wanasiasa, kuingiliwa kimaslah na rasimu hii WITO; Kwa watz wote kusoma rasimu hii na kuielewa, badala ya kudandia uchambuz wa baadhi ya watu wengi wenye hiden agenda....! utaifa kwanza itikad baadae!!!!!
 
Leo, mmoja wa wajumbe wa tume ya katiba mpya Prof. Kabudi.. kwenye kipind cha kipima joto cha ITV.. ambapo pamoja na mambo mengine ameeleza kwa kina tafsir ya mambo makubwa katika rasimu ya katiba hiyo.. ! ctaki kusema kwamba haihitaji marekebisho na nyongeza kadhaa, lakini.. inaonesha kwamba wakosoaji wengi hawajaisoma vzur rasimu hiyo na kuielewa, wengi wanakurupuka, nimekuwa nikisikitishwa sana na watz wengi wanaochambua mambo makubwa ya kitaifa kwa maslah ya muda mfupi sana.. na hi inatokana na panic ya watu wengi hasa wanasiasa, kuingiliwa kimaslah na rasimu hii WITO; Kwa watz wote kusoma rasimu hii na kuielewa, badala ya kudandia uchambuz wa baadhi ya watu wengi wenye hiden agenda....! utaifa kwanza itikad baadae!!!!!

Sema basi alichokisema huyo Bw.Kabudi kama ukiweza!
 
Dare to Talk Open

Maana wengine hatujaona alichosema.
 
Dare to Talk Open

Maana wengine hatujaona alichosema.
ni vigumu kueleza yote lakin mf. kumekuwa na upinzani mkali sana kwa suala la serikal tatu, wako wanaoona mfumo huo utaua muungano, wengine utazidisha mgogoro, lakni ukifuatilia kwa Umakini Utaona kuwa 1.hata serikal moja ina migogoro
2. serikal itaongozwa na marais watatu, ambao wote ni wajumbe wa baraza la usalama la taifa hivyo kuondoa uwezekano wa kuvunjika kwa muungano kwa maslah binafsi. 3. Kila nch kushughulikia mambo yake ambayo kimsing yalikuwa impractical kwa serikal mbil. na mengine mengi zaid lakni c makosa kutokujua, makosa ni kupotosha kwa makusudi.
 
Fanyeni mfanyavyo,bila ya mamlaka kamili ya z'br no muungano.
 
Leo, mmoja wa wajumbe wa tume ya katiba mpya Prof. Kabudi.. kwenye kipind cha kipima joto cha ITV.. ambapo pamoja na mambo mengine ameeleza kwa kina tafsir ya mambo makubwa katika rasimu ya katiba hiyo.. ! ctaki kusema kwamba haihitaji marekebisho na nyongeza kadhaa, lakini.. inaonesha kwamba wakosoaji wengi hawajaisoma vzur rasimu hiyo na kuielewa, wengi wanakurupuka, nimekuwa nikisikitishwa sana na watz wengi wanaochambua mambo makubwa ya kitaifa kwa maslah ya muda mfupi sana.. na hi inatokana na panic ya watu wengi hasa wanasiasa, kuingiliwa kimaslah na rasimu hii WITO; Kwa watz wote kusoma rasimu hii na kuielewa, badala ya kudandia uchambuz wa baadhi ya watu wengi wenye hiden agenda....! utaifa kwanza itikad baadae!!!!!

Inaonekana na wewe hujaisoma na Kabudi hujamwelewa...
 
Hiyo rasimu ya Katiba,ni nzuri sana,tunapaswa waTZ wote wanyonge wa nchi hii tumpongeze jaji Warioba na timu yake kwa ujasiri wao mkubwa kwa kuja na rasimu,ambayo ni kinyume cha matakwa ya watawala.

Si mmemsikia Kinana ametamka hadharani kuwa wao CCM hawaiungi mkono rasimu hiyo,hadi wameitisha kikao cha dharula cha CC yao,ambacho kitakutana siku ya Jumatatu.

Lakini waliopigwa na bumbuazi zaidi,ni wale waliokuwa wanausaka urais wa Muungano,kwa udi na uvumba.

Kwa kuwa kwa rasimu hiyo ilivyo hivi sasa ambapo,tutakuwa na Rais wa Zanzibar na Rais wa Tanzania bara,aka Tanganyika,maana yake ni kuwa marais watakaokuwa na nguvu zaidi ni Rais wa Zanzibar na yule mwenzake wa Tanganyika.

Kwa kuwa rasilimali zote za nchi,kama vile gesi,mafuta,madini ya aina mbali mbali,rasilimali hizo,zitakuwa kwenye wizara za serikali za Zanzibar na Tanganyika,kwa maana hiyo wale.wagombea,waliokuwa wameanza kumwaga mabilioni yao wakiamini mabilioni hayo yatarudi,mara tu wsingiapo Ikulu,kwa namna watakavyofisadi radilimali zetu, wagombea wa design hiyo wajihesabu tu wameliwa,kwa kuwa Rais wa Muungano,baada ya 2015,atakuwa hana tofauti yoyote na malkia Elizabeth wa UK,ambapo nafasi yake ni ceremonial post,mtendaji mkuu wa serilali ya Uingereza ni David Cameron.

Vivyo hivyo ndivyo itakavyotokea kwa TZ,ambapo Urais wa Muungano,utakuwa ceremonial post,nafasi za utendaji na ulaji,zitakuwa ni zile za urais wa Zenj na Bara!!
 
Vivyo hivyo ndivyo itakavyotokea kwa TZ,ambapo Urais wa Muungano,utakuwa ceremonial post,nafasi za utendaji na ulaji,zitakuwa ni zile za urais wa Zenj na Bara!!
Nadhani haya ni maoni yako, kwani Prof Kabudi hakusema hivyo. Alichosema ni kwamba Serikali ya shirikisho itasimamia zile wizara saba zinazohusiana na mambo ya Muungano, ila mambo yasiyo ya muungano yatasimamiwa na individual governments zilizo katika shirika. Ukiangalia utaona hizo wizara saba zote ni zile muhimu. Rais wa Muungano ni kiongozi wa NCHI na kiongozi wa SERIKALI ya JMT, na ni Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya JMT. Ndiye mteuzi wa Jaji Mkuu. Sasa power zote hizo bado unasema urais wa shirikisho ni ceremonial post?
 
ni vigumu kueleza yote lakin mf. kumekuwa na upinzani mkali sana kwa suala la serikal tatu, wako wanaoona mfumo huo utaua muungano, wengine utazidisha mgogoro, lakni ukifuatilia kwa Umakini Utaona kuwa 1.hata serikal moja ina migogoro
2. serikal itaongozwa na marais watatu, ambao wote ni wajumbe wa baraza la usalama la taifa hivyo kuondoa uwezekano wa kuvunjika kwa muungano kwa maslah binafsi. 3. Kila nch kushughulikia mambo yake ambayo kimsing yalikuwa impractical kwa serikal mbil. na mengine mengi zaid lakni c makosa kutokujua, makosa ni kupotosha kwa makusudi.

Nchi mbili zilizoungana kuzaa nchi tatu. Ni heri tutengane kisha tukutane EAC ambako jambo kama hilo lipo kwenye mchakato. By the way, kwani prof. Kabudi ndiye reference manual ya watz?
 
  • Thanks
Reactions: GKM
Leo, mmoja wa wajumbe wa tume ya katiba mpya Prof. Kabudi.. kwenye kipind cha kipima joto cha ITV.. ambapo pamoja na mambo mengine ameeleza kwa kina tafsir ya mambo makubwa katika rasimu ya katiba hiyo.. ! ctaki kusema kwamba haihitaji marekebisho na nyongeza kadhaa, lakini.. inaonesha kwamba wakosoaji wengi hawajaisoma vzur rasimu hiyo na kuielewa, wengi wanakurupuka, nimekuwa nikisikitishwa sana na watz wengi wanaochambua mambo makubwa ya kitaifa kwa maslah ya muda mfupi sana.. na hi inatokana na panic ya watu wengi hasa wanasiasa, kuingiliwa kimaslah na rasimu hii WITO; Kwa watz wote kusoma rasimu hii na kuielewa, badala ya kudandia uchambuz wa baadhi ya watu wengi wenye hiden agenda....! utaifa kwanza itikad baadae!!!!!

tatizo ni kwamba wewe mwenyewe ni kati ya hao watu unaowasema
 
mi namkubali sana prof kabudi wa pale kitivo cha sheria udsm ila katika hili la serikali tatu siwezi nikakubali ata kidogo kushawishiwa ni mzigo kwetu na atuhitaji mzigo huo.
 
Kuwarudisha MaDC na MaRC kama wateule wa Rais hili sikubaliani nalo kamwe.Wanakula tu kodi bure bila ya kuwa na faida yoyote kwetu ni wakati wa kuwa-get rid of all dead-woods in the government system to make it more efficient and productive for God'sake.
 
Ila jamani hii inchi itakuwa ya marais. Marais wa3?!! Khaaa!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Leo, mmoja wa wajumbe wa tume ya katiba mpya Prof. Kabudi.. kwenye kipind cha kipima joto cha ITV.. ambapo pamoja na mambo mengine ameeleza kwa kina tafsir ya mambo makubwa katika rasimu ya katiba hiyo.. ! ctaki kusema kwamba haihitaji marekebisho na nyongeza kadhaa, lakini.. inaonesha kwamba wakosoaji wengi hawajaisoma vzur rasimu hiyo na kuielewa, wengi wanakurupuka, nimekuwa nikisikitishwa sana na watz wengi wanaochambua mambo makubwa ya kitaifa kwa maslah ya muda mfupi sana.. na hi inatokana na panic ya watu wengi hasa wanasiasa, kuingiliwa kimaslah na rasimu hii WITO; Kwa watz wote kusoma rasimu hii na kuielewa, badala ya kudandia uchambuz wa baadhi ya watu wengi wenye hiden agenda....! utaifa kwanza itikad baadae!!!!!

Ni kweli kabisaaaa! sio wengi ambao wameisoma, badala yake wanatoa maoni kwa uchambuzi wa akina https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/464580-sumaye-apinga-serikali-tatu.html

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...i-wata-itamani-irudi-na-haitarudi-ng%93o.html
 
Back
Top Bottom