Nimemsomesha, nimegharamika, leo kaniacha anaolewa na mtu mwingine

Pole Sana ila kumbuka Kila binadamu lazima apitie maumivu ya mapenzi ili akili ikae sawa

Sasa ukipitia Hilo hapo tunasema umeiva
 
Pole sana Mdogo wangu , siku zote girlfriend huwa asomeshwi yaan usithubutu kumlipia ada hata ya kodi ya nyumba we muhonge tu tuvi hela vya chips lkn usifanye uwekezaji
 
Mshukuru Mungu kila jambo hutokea kwa kusudi ila ulifanya makosa sana kumwamini mwanadamu. mwamini mke wako ambaye umeshamuoa si vinginevyo.
Hiyo gia kubwa acha kupoteza muda wako Mungu akikuhurumia atakulipia kisasi vinginevyo utazidi kuharibu hata pale ambapo ungetengeneza maana unavyozidi kutafuta kulipiza ukikwama unaweza kujinyonga
 
Uzi wa zamani huu,tulishawafundisha sana,siku hizi nadhani wameacha na ndio maana kesi hizi zimepungua...
 
Ah. Singekubali. Lazima ningempa mimba.

Thredi ya 2016! Sijui iliishaje kwa huyu dogo.

Kusomesha mchumba ni upuuzi. Kama huyo mchumba alimwona anafaa kipindi akiwa chini, afikapo juu huwa na mtazamo tofauti.

Kwa nini kumbeba ‘raw product’ wakati kuna ‘finished and tested products’??
 
Hii imekaa vizuri sana.......neno la Mungu ni chakula tosha cha roho....
 

Wanaume wengine vichwa maji..ivi unaanzake kujiwekea eti namsomesha mchumba ili akimaliza awe wangu..Oa endelea kusomesha wewe..na kama huitaji asome unasema mke wangu sitaki usome..cha msingi ongea na mmewe mtarajiwa akurudishie gharama zako..ningekua mimi ningesambaratisha familia nzima..btw haiwezi kuwa mimi sbb sina io akili mgando..au ulirogwa mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ukute nilishacomment wisdom but ufufuo ukanikuta nimechoka akili na mwili nikiwaza kuzoeana mimba tuuuu.😂😂
 
Reactions: RR
Watu mnapenda yaani unamsomesha binti eti utakuja kumuoa.?? Kwanza pole afu sheria inaruhusu mtu kudai chake uchumba ukivunjika hivyo dai chako ila kuwa makini usije rogwa kwa maana watu km hao wanakimbilia kuroga hata kukuua. Dai chako sheria ya nchi inaruhusu
 
Mleta Thread Nipo Chini Ya Miguu Yako, Lakini Sikuchungulii
Kama Bado Upo JF Tafadhali Lete Mrejesho Wa Hii Kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…