Nimemsomesha, nimegharamika, leo kaniacha anaolewa na mtu mwingine

Nimemsomesha, nimegharamika, leo kaniacha anaolewa na mtu mwingine

Mchumba hasomeshwi ndg yangu.

Huna haja ya kumtandika risasi ila unaonaje ukamwachia uhai wake ila ukachukua kiungo kimoja ukaishi nacho kikufariji?
 
Achana nae hakuna sheria ya kumlipisha huyo dada. Mcumba hasomeshwi ndugu ulikuwa hujui hili? Hesabu hasara move on. Najua inauma ila ndio uanamme huo
 
MCHUMBA HASOMESHWI... MCHUMBA HASOMESHWI... MCHUMBA HASOMESHWI.
Wanawake wana akili Kama za kuku, hata ungemkuta akiwa analala chumba kimoja cha mbavu za mbwa na kaka zake watano, ukamwonea huruma, ukampenda na kumtoa kwa kumpeleka shule, likijitokeza jamaa linajua kuimbisha anasahau mema yako yote. Kama unaamua kusomesha aende akiwa na mimba kabisa au akiwa ameshazaa.
Kweli kabisa mkuu hata mimi imenitokea hiyo.mwanamke wa sasa sio wa kumuwekea dhamana ya maisha yako.atakuacha kwa dharau juu
 
Duh! Kuna wanawake wana Royo ngumu jamani!! Yaani unasomeshwa alafu unaruka Kisangani after mafanikio.
Pole sana mkuu cha msingi fuatilia pesa yako iwe fundisho kwao,Kama kweli mliandikishana kisheria.
 
ipo siku atarudi tu, tena kwwa aibu kuu!

Hapo utapata pa kummalizia, maisha ya zunguka kama duara.

Uwe na moyo wa uvumilivu mkuu, hana mdogo wake wa kike umlipizie!😀😡😡
 
'Honesty? Yes, but also, Loyalty an expensive thing you should not expect from cheap people"
Songa mbele
 
Pole sana Palesa.. It's never too late. That woman asingeweza kuwa wife material. Shukuru Mungu yote ya kwamba amekuonesha mapema maana la sivyo ungeweka ndani ka wife then anapata mimba nje au unamfumania. Nikupongeze kwanza kwamba God has blessed you with money. Really, it's not easy kusomesha mtu level ya University.. Natambua una imani yako.., embu mtangulize Mungu kwa hili, omba akupe hekima na akuongoze kukupa mchumba mwema then awe wife. Achana naye huyo malipo hapa hapa duniani.

Umenena vyema kabisa.

Wakati mwingi kwenye mahusiano ya uchumba Mungu huongea na mhusika kwa kumwonyesha mwenza wake jinsi alivyo na mara nyingi ubaya au udhaifu wake ili ufahamu mapema.

Achana na mambo ya mahakama. Tulizana na umwombe Mungu, utapata mke mzuri utashangaa muda wote ulikuwa wapi.
 
hahahaha mapenzi bana ni sheydaah tupu, hapa home kwangu kuna binti ambae ni rafiki wa mke wangu kaja kusalimia, kapigwa kibuti na mchumba wake aliekuwa amemwahidi kumuoa but kamgeuzia gia angani na kuoa binti mwingne, sasa huyu shem tangu jana analia tu na kuzimia kla akimkumbuka huyo mwenzeke tumempeleka hospital kapima presha iko juu. kazi kweli kweli
 
Alafu kiukweli kweli hapo kwenye kumdai hizo hela mahakamani angepotezea tu kabla hajajiumiza mwenyewe, ebu imajin unamdai hizo hela alafu jamaa wake wa sasa anakuja kuzitoa zote kwako tena kash, itauma sana!!
Mkuu, hata kama mahakama wakikubali hiyo kesi, mwisho wa siku jamaa atakuja kudaiwa RISITI za malipo aliyofanya kwa huyo binti na yeye hana....hatimaye kesi itafutwa kwa kukosa ushahidi. Mkuu hii issue aachane nayo itakuja kumuumiza kichwa bure.
 
tatizo lenu mnawadharau sana wale wanaoandika ujumbe katika guta,pikipiki na malori, wana busara za kiwango cha phd japo hawajaenda shule...walishasema muda mrefu tu...mchumba hasomeshwi
 
Mkuu, hata kama mahakama wakikubali hiyo kesi, mwisho wa siku jamaa atakuja kudaiwa RISITI za malipo aliyofanya kwa huyo binti na yeye hana....hatimaye kesi itafutwa kwa kukosa ushahidi. Mkuu hii issue aachane nayo itakuja kumuumiza kichwa bure.

au amshitaki kwa kumjeruhi kisaikolojia!!!!
 
hahahaha mapenzi bana ni sheydaah tupu, hapa home kwangu kuna binti ambae ni rafiki wa mke wangu kaja kusalimia, kapigwa kibuti na mchumba wake aliekuwa amemwahidi kumuoa but kamgeuzia gia angani na kuoa binti mwingne, sasa huyu shem tangu jana analia tu na kuzimia kla akimkumbuka huyo mwenzeke tumempeleka hospital kapima presha iko juu. kazi kweli kweli
Nipe nafasi huyo aliyepigwa kibuti maana wafu wanawazika wafu wao
 
potezea km vile uliweka hela kwenye kapu la sadaka ...kwenye kanisa la kiroho
 
Back
Top Bottom