da irritant boy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 402
- 444
uongo ni mfupi sananashangaa eti
kajitibu kimya kimya af kamla daktari aliemtibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uongo ni mfupi sananashangaa eti
kajitibu kimya kimya af kamla daktari aliemtibu
😂😂😂 Amejila😂Ukajitibu kimyakimya then ukala daktari!! Sasa mbona hujamtaja au daktari ndo wewe hivyo umejila au..?
Kudadeki jamaa hajachukua round watu mnamshukia[emoji23][emoji23]Usipende kujichua. Ona sasa unadhani ww ni daktari wa kike umejiopoa baada ya kujitibu.
Hahaha imagination ya kiwango hicho ni mbaya mkuu.Kudadeki jamaa hajachukua round watu mnamshukia[emoji23][emoji23]
Usinene kwa hasira mkuuUsipende kujichua. Ona sasa unadhani ww ni daktari wa kike umejiopoa baada ya kujitibu.
Najirekebisha boss KARMA. Naondoa hasira.Usinene kwa hasira mkuu
asante ya niniAsanteni
Ugua marukanga nayo atakutibu uponeWakuu kwema?
Aisee katika pita pita zangu, si nikakumbana na gono bana. Sasa nikajitibu kimya kimya mpaka nikapona, yule daktari aliyenitibu nimejikuta niko deep in love with her.
Leo nimemtafuna tayari.
Asanteni
Kama umejitibu mwenyewe ina maana umejikaza. Maana wewe ndio daktari na wewe ndio mwenye gono. Umejila du.Wakuu kwema?
Aisee katika pita pita zangu, si nikakumbana na gono bana. Sasa nikajitibu kimya kimya mpaka nikapona, yule daktari aliyenitibu nimejikuta niko deep in love with her.
Leo nimemtafuna tayari.
Asanteni
Daktari si atakuwa Google mkuuKama ulitibiwa na Daktari unasemaje umejitibu kimya kimya? Kujitibu kimya ni ile umekunywa dawa tena umenunua baada ya kugoogle bila hata kupitia kwa Daktari