Nimemtazama Chama leo Manungu, ni kweli amebaki jina tu!

Nimemtazama Chama leo Manungu, ni kweli amebaki jina tu!

Akiwa na Umri wa miaka 31. Clautous Chama anaonekana akiwa amechoka mapema. Ukilinganisha na wachezaji wenzake wenye umri sawa na yeye kama wakina Baraka Majogoro, Lucas Kikoti na Ramadhan Chombo.

Urejeo wake unaonekana wazi kwamba umeleta mzigo wa wachezaji wenye umri mkubwa na kuongezeka kwa mzigo wa mishahara kwa klabu.

Kama ulipata nafasi ya kumtazama vyema utakuwa umegundua vitu vifuatavyo ambavyo nimevi-notice kutoka kwake.

1. Ni mzito ku-track back pale mpira unapokuwa kwa upinzani. - tangu aingizwe uwanjani simba ilionekana kuwa vulnerable zaidi kwenye counter attacks.

2. Mipira/Pasi zake zimekuwa sio za uhakika kama ilivyo awali - Pasi nyingi alizokuwa akipiga zilikuwa zinakuwa-intercepted na viungo wa Mtibwa. Hili linaonyesha ameishiwa kabisa nguvu za kutosha miguuni kufikisha mipira kwenye target.

3. Anakabia snaa macho - Hii nadhani imesababishwa na hali ya kujiona yeye ndio superstar kuliko yeyote pale klabuni. Hii tabia ndio ilimpelekea hata Ibenge asimuweke kwenye hesabu zake.

4. Physique yake imeshuka kiasi kwamba mipira mingi alikuwa akipoteza. Hii inatokana na kudorora kwa nyama nyama za mwili wake tangu arejee kutoka Morroco.

5. Hana tena threat mbele ya lango la wapinzani kwakuwa kwenye chezo wa Manungu alikuwa na 0 shoots on target & 1 shoot on target. Na final passes zake nyingi zilikiwa diagonal.

Kwa jicho la kichambuzi hizi sababu ziko universal kwa wachezaji wengi wenye above 30 pale Simba.

Hivyo basi Chama hajaja kuokoa jahazi, bali amekuja kuongeza tatizo.
Watu kama nyie ndio mliosababisha Luc Eymael akawaita Manyani. . Mechi Moja tena kwenye majaruba ya mpunga umtathmin mchezaji? Wewe jamaa yawezekana ni mke mwenza na Manara.
 
Kakaza mishipa.[emoji23][emoji23]
Kaa kimya we shoga hujui mpira ,ungekuwa unajua mpira hukupaswa kumjudge chama kwa game ya leo ,wewe ndiye ulipaswa kurelax usubir hata game tatu toka kwake ndipo uje na uchambuz wako .Narudia tuliza makalio ww choko
 
Kaa kimya we shoga hujui mpira ,ungekuwa unajua mpira hukupaswa kumjudge chama kwa game ya leo ,wewe ndiye ulipaswa kurelax usubir hata game tatu toka kwake ndipo uje na uchambuz wako .Narudia tuliza makalio ww choko
imekuingia vizuri tulia icheue sasa
 
3. Huu ndo mpira wake toka apate ufather Simba.

Akikutana na Yanga, humuoni jamaa akijituma kiviiile sababu anajiona sio level za kucheza nao.

Akicheza na timu kubwa za nje anajitahidi mno kuficha makucha yake. Hii inadhihirisha kuwa amejiona ni father ndani ya Bongoland, so ubora wake ni bora akauonesha huko nje na sio ndani tena.

Hapo ndipo alipokea, ila yote ya yote, sikuona umuhimu wa chama kurud Simba, walau wangepata mtu kama Carlos Carlinhos na zile pasi zake angeweza wasaidia.
 
3. Huu ndo mpira wake toka apate ufather Simba.

Akikutana na Yanga, humuoni jamaa akijituma kiviiile sababu anajiona sio level za kucheza nao.

Akicheza na timu kubwa za nje anajitahidi mno kuficha makucha yake. Hii inadhihirisha kuwa amejiona ni father ndani ya Bongoland, so ubora wake ni bora akauonesha huko nje na sio ndani tena.

Hapo ndipo alipokea, ila yote ya yote, sikuona umuhimu wa chama kurud Simba, walau wangepata mtu kama Carlos Carlinhos na zile pasi zake angeweza wasaidia.
Unaona mbali sana Mkuu.

Kongole. [emoji122][emoji122]
 
Akiwa na Umri wa miaka 31. Clautous Chama anaonekana akiwa amechoka mapema. Ukilinganisha na wachezaji wenzake wenye umri sawa na yeye kama wakina Baraka Majogoro, Lucas Kikoti na Ramadhan Chombo.

Urejeo wake unaonekana wazi kwamba umeleta mzigo wa wachezaji wenye umri mkubwa na kuongezeka kwa mzigo wa mishahara kwa klabu.

Kama ulipata nafasi ya kumtazama vyema utakuwa umegundua vitu vifuatavyo ambavyo nimevi-notice kutoka kwake.

1. Ni mzito ku-track back pale mpira unapokuwa kwa upinzani. - tangu aingizwe uwanjani simba ilionekana kuwa vulnerable zaidi kwenye counter attacks.

2. Mipira/Pasi zake zimekuwa sio za uhakika kama ilivyo awali - Pasi nyingi alizokuwa akipiga zilikuwa zinakuwa-intercepted na viungo wa Mtibwa. Hili linaonyesha ameishiwa kabisa nguvu za kutosha miguuni kufikisha mipira kwenye target.

3. Anakabia snaa macho - Hii nadhani imesababishwa na hali ya kujiona yeye ndio superstar kuliko yeyote pale klabuni. Hii tabia ndio ilimpelekea hata Ibenge asimuweke kwenye hesabu zake.

4. Physique yake imeshuka kiasi kwamba mipira mingi alikuwa akipoteza. Hii inatokana na kudorora kwa nyama nyama za mwili wake tangu arejee kutoka Morroco.

5. Hana tena threat mbele ya lango la wapinzani kwakuwa kwenye chezo wa Manungu alikuwa na 0 shoots on target & 1 shoot on target. Na final passes zake nyingi zilikiwa diagonal.

Kwa jicho la kichambuzi hizi sababu ziko universal kwa wachezaji wengi wenye above 30 pale Simba.

Hivyo basi Chama hajaja kuokoa jahazi, bali amekuja kuongeza tatizo.
Unateeka ukiwa wapi mtani? Unaweza mpima mchezaji kwenye lile Dimbwi?
 
Mtajuana wenyewe na Chama wenu, la msingi matokeo yawe ya kudroo ama kufungwa.
 
Wewe Mwenzetu uliangalia Mechi Gani? Tulio angalia Sisi, Timu ilitulia na kuanza kushambulia baada ya Chama Kuingia. Kifupi hii Combination ikipewa muda ni Nzuri sanaaa, Sakho, Chama, Morrison akina Kagere wataanza Kufunga.

Ngoja Tusubiri Tarehe 26.
 
Back
Top Bottom