Arushaone
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 15,194
- 13,426
Nilivyomuelewa natalia ni kwamba alipoona jamaa yake hana kazi na shopping na mazagazaga hamna tena ndio kasema anamwacha na alileta thred hiyo huku jf. Tukamshauri na wengi tulikuwa tunampaka yeye. Now anajikosha tu. Mpenda vitu mkubwa wewe. Y lkn??