Boya utamjua tu!
low self esteem..haijifichagi..
i know...kapewa benz ndio anasema anampenda, asingepewa angemuacha...mapenzi ya siku hizi mmh
kind of limbukeni fulani hivi! nadhani hii itakuwa thread ya mwisho kuisoma kutoka kwako nimeshajiridhisha kuwa wewe si mzima!!!
Jamani yaani mwanaume huyu ananipenda mpaka nimemtishia kumwacha na alikuwa anasoma hivi Jamie forum .aneogopa mpaka wazazi wake wamemkopesha pesa kanunua Mercedes loop hapa na let the shopping begins .kesho nitawapostia picha ya mume wangu na gari mpya na picha ya Mimi natalia.sasa hivi nampenda I'm happy.ladies mtumie mitandao kuwatishia nilianza na facebook na hapa.nawashukuru kwa comment zenu
Jamani yaani mwanaume huyu ananipenda mpaka nimemtishia kumwacha na alikuwa anasoma hivi Jamie forum .aneogopa mpaka wazazi wake wamemkopesha pesa kanunua Mercedes loop hapa na let the shopping begins .kesho nitawapostia picha ya mume wangu na gari mpya na picha ya Mimi natalia.sasa hivi nampenda I'm happy.ladies mtumie mitandao kuwatishia nilianza na facebook na hapa.nawashukuru kwa comment zenu
Jamani yaani mwanaume huyu ananipenda mpaka nimemtishia kumwacha na alikuwa anasoma hivi Jamie forum .aneogopa mpaka wazazi wake wamemkopesha pesa kanunua Mercedes loop hapa na let the shopping begins .kesho nitawapostia picha ya mume wangu na gari mpya na picha ya Mimi natalia.sasa hivi nampenda I'm happy.ladies mtumie mitandao kuwatishia nilianza na facebook na hapa.nawashukuru kwa comment zenu
Nashindwa kuelewa hao waliokupa hizo like walikupaje.......yaani nini kiliwavutia manake mie toka nianze kupitia nyuzi zako sijawahi kuambulia chochote!
Nafikiri na hao pia kuna kitu walitishiwa kama alivyomtishia huyo mumewe na ndiyo maana wakamgongea LIKE, loh! :sleepy:
Mtishie pia kutembea na rafiki yake tuone kama atasemaje
napenda jukwaa hili, ila huyu mdada anafanya nilione baya! ooooh nimekumbuka kitu mungu hakutuumba kwa kufanana kila kitu, yawezekana huyu amerukwa....jaman wale watundu m-pm huyu m2 afu mpeni anachokitaka then mchukueni picha muianike jukwaa la wakubwa aridhike
Anamaanisha kuwa hicho alichoandika hapo ni ndoto tu alikuwa anaota kuwa kanunuliwa Benzi, lakini akitokea mtu akimnunulia hata simu ya tochi...................anakula mzigo. I never see brain-washed woman like this lol!!mh,mbona mimi narudia rudia lakin c elewi maana ya hii thread, yaani sijaelewa anamaanisha nini? nisaidieni pls