Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

Duh siku tatu zote hizo....una bahati sana
 
Mwambie asubirie umalize kupeleleza kesi ya 2.2bn za selcom
 
Wee jamaa hiz mbinu unatowaga wapii?

Aisee hii ni bonge la idea anayotakiwa kuifata huyu mleta mada.

Tena ahakikishe analifanya hili tukio sehem salama, ambako hata huyo dem aipiga yowe, hakutakuwa na watu kuja kumsaidia.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mfanyie umafia pesa apolwe anvyosepa, then najua tu atarudi kwao akiwa na kilio.

Jifanye hujui lililotokea, mpe pole na umwambie ''Sasa tunafanyaje?" Then chukua 50k mwambie hii ndyo uliyobakiwa nayo, alafu msindikize mpka anapoishi, hata kesho yake lazima aje geto kuliwa kipochii manyoya[emoji23][emoji23].

Hakika hatokusahau kamwe, na wew hapo unakuwa umempata kwa hasara ya 150k, yaan 100k ya wale wahuni, na 50k kifuta machozi cha huyu dem, so 350 unabaki nayo salama kabisa.

Ushaur wa bure huo, inabidi mabaharia sas serkali itufikilie tuwe tunalipwa kwa haya materials tunayowapa raia.
 
Mpe pole kwa tukio hilo, halafu mwambie muonane ili muongee zaidi.
Ukishaonana naye mwambie utamsaidia laki 2.
Then angalia uwezekano wa kupata burudani kutoka kwake.
Kama upo piga show then mpatie laki 2.
Show kwa laki mbili boss hauko serious wewe
 
Aisee pambanq nqe mkuu maana wakati mnatongozana hazukuwepo
 
Mimi nimeambiwa kulipa kodi ya saluni yake na matumizi kwa mwezi laki 4.
Mchaga yule kula siku moja tu kiutani eti anataka Smart phone tena ya kuanzia laki 2..[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
meki maneee, invest manee but donti fogeti tu spendi ze manee yuu meki, ifu ze mane yu make kani noti sovu ze problemu yu havu iti zati manee...
 
Mapenzi yalikuwa mazuri saana zaman kabla mabint hawajayageuza kuwa kitega uchumi juzi nipo kwenye bus natokea somewhere naomba no story ile kushuks hata cjaoga kupumzika naambiwa kapoteza pesa jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X606D using JamiiForums mobile app
 
Wengine labda ndio staili yao ya kukukataa

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Huo uvaaji wake tu ulitakiwa ushtuke. Una roho ngumu sana ukamsogelea kabisaaa.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…